Natafuta mwenza wa kiume

Natafuta mwenza wa kiume

uwe mtu mzima zaidi ya miaka 40 hadi 45
uwe tayari kwa familia
usiwe mlokole au msabato.
uwe na kipato yaani uwe unajishughulisha
usiwe ushawai kuoa/kuolewa / ushawai kufunga ndoa popote
usiwe na vyeti feki
usiwe na watoto zaidi ya wawili maana muhusika anaitaji kuzaa 3
uwe tayari kwa hiv test
mimi ni midle man tu ila kila ombi litapewa kipaumbile litalifikisha kwa muhusika.
"Middle man"?!! Kwani wewe wakiume?
Kwahiyo unakuwa kuwadi?
 
Haya ss over 40 changamkieni fursa hiyo,Kwa upande wangu sijakidhi vigezo
 
Back
Top Bottom