Natafuta mwenza

Natafuta mwenza

Mi nafikiri kama mtu anaona single mom hamfai, awaachie wengine, wapo wanaowakubali. Kuna wengine baadhi ni wazuri tu sio wote wabaya, msiwahukumu.
 
Dah, usifanye hivi mkuu. Huwezi jua dada wa watu alipatwa na nini, ila ujue tu hao unao wadharau (single mother) wanakuwaga wamama bora kabisa kama alivyokuwa my late mom.
 
Jinsia Ke,
Rangi maji ya kunde,
Miaka 27
Nna mtoto mmoja,
Nimejiajiri huduma za Afya,
Natafuta mwenza wa maisha,
Awe maji ya kunde na mrefu ,
Umri 32-35,
Awe muajiriwa kada ya Afya au amejiajiri

Awe serious na mahusiano

Kama huna vigezo acha maneno mabaya sio lazima uonekane umecomment kila mtu anafanya anachoona sahihi
Mwambie uliyezaa nae akuoe
Vijana hawataki kuingia uwanjani ubao unasoma 1-0

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ukikosa mwenye sifa ulizotaja nitafute mimi.
Jinsia Ke,
Rangi maji ya kunde,
Miaka 27
Nna mtoto mmoja,
Nimejiajiri huduma za Afya,
Natafuta mwenza wa maisha,
Awe maji ya kunde na mrefu ,
Umri 32-35,
Awe muajiriwa kada ya Afya au amejiajiri

Awe serious na mahusiano

Kama huna vigezo acha maneno mabaya sio lazima uonekane umecomment kila mtu anafanya anachoona sahihi
 
Dah, usifanye hivi mkuu. Huwezi jua dada wa watu alipatwa na nini, ila ujue tu hao unao wadharau wanakuwaga wamama bora kabisa kama alivyokuwa my late mom.
Kweli mkuu nisamehewe.... Niliongea kwa utani tu.
 
Nawaombea wote mnaotafuta wenza mpate wenza wenu hili ni jambo serious sana sio la kufanya mzaha kwa Watafutaji naamini mtafanikisha..
 
Back
Top Bottom