Hahahaa Jamaa kajionaa katusua kinoma kumbe badooo, anyway punguzaa wengee...... Ni Hela nzuri kukusogeza.Huwezi kupata nyumba ya 20M Arusha mjini labda uende Mirongo au Longido.
Bora umemwambia ukweli na hapo pesa ya kiwanja pembeni.😅Mkuu Mimi ni fundi Niko kwenye hii tasnia ya ujenzi 30milion haitosh kwa ujenzi wa kisasa maana nyumba ya kisasa inachukua 50 had 60 million hyo ni ya vyumba vitatu ,kama unajenga nyumba ya ilimrad tu local hyo pesa ndo itatosha inamaana hautaifanyia finishing
Kiwanja tu hapati.!!Huwezi kupata nyumba ya 20M Arusha mjini labda uende Mirongo au Longido.
DuhMkuu Mimi ni fundi Niko kwenye hii tasnia ya ujenzi 30milion haitosh kwa ujenzi wa kisasa maana nyumba ya kisasa inachukua 50 had 60 million hyo ni ya vyumba vitatu ,kama unajenga nyumba ya ilimrad tu local hyo pesa ndo itatosha inamaana hautaifanyia finishing
Kajenge Yako nzuri Kwa mil.20Nina Tsh. Milioni 30 cash mkononi mwangu, kujenga ndo kipaombele changu, hata biashara pia.
Mwenye nyumba nzuri ya milioni 20 (Arusha) anitafute. Milioni 10 nataka nifanye biashara nipate hela ya marejesho.
Napokea mawazo na ushauri
At arusha now.
PM please.
Hawa Jamaa wanadhani mil.30 ni pesa nyiiikingi ya kutishia watuBora umemwambia ukweli na hapo pesa ya kiwanja pembeni.😅
Longido ndani ndani, nako bado ni Arusha, atapata tu. [emoji1787]Huwezi kupata nyumba ya 20M Arusha mjini labda uende Mirongo au Longido.
Bora umemwambia ukweli na hapo pesa ya kiwanja pembeni.[emoji28]