Mributz
Senior Member
- Aug 29, 2022
- 177
- 527
Nina Tsh. Milioni 30 cash mkononi mwangu, kujenga ndo kipaombele changu, hata biashara pia.
Mwenye nyumba nzuri ya milioni 20 (Arusha) anitafute. Milioni 10 nataka nifanye biashara nipate hela ya marejesho.
Napokea mawazo na ushauri
At arusha now.
PM please.
Mwenye nyumba nzuri ya milioni 20 (Arusha) anitafute. Milioni 10 nataka nifanye biashara nipate hela ya marejesho.
Napokea mawazo na ushauri
At arusha now.
PM please.