Natafuta Partner kwenye biashara ya marudio (Uchenjuaji wa marudio ya Dhahabu)

Mkuu mm sio mgeni kwenye hii biashara....na usidhani ndo mara yangu ya kwanza kufanya...KAA KIMYA MKUU....HUJUI KITU KUHUSU BIASAHRA YA MARUDIO.
Hakuna utajiri wa makundi, ungekuwa sio mgeni wa biashara hiyo mpaka saivi usingehangaika kutafuta wawekezaji maana ungekuwa vizuri na ungefanya mwenyewe. Tetea hoja sio bla bla.
 

Ujaweka gharama zifuatazo:

  • change of govt policies.
  • Risk.
  • Reality...
  • Matambiko.

Biashara sio rahisi kiwango hicho! Wote tungekuwa matajiri.
 
Mkuu mm sio mgeni kwenye hii biashara....na usidhani ndo mara yangu ya kwanza kufanya...KAA KIMYA MKUU....HUJUI KITU KUHUSU BIASAHRA YA MARUDIO.
Watu wenye tabia na ujuaji wako ndo husababisha watu honesty kuingia hasada na kufilisika.

Hakuna mfanya biashara timamu mwenye assurance kama zako! Uwekezaji ni jambo serious.
 
Sio mtaalam wa biashara za madini

Ila Kuna mwamba katoa Uzi wake wa majuto ya biashara ya madini,

Wengi wametoa comments zao naona zimekaa vibaya vibaya,zinatisha.

Binafs
Nakutakia kila la heri mkuu[emoji120]
 
Ujaweka gharama zifuatazo:

  • change of govt policies.
  • Risk.
  • Reality...
  • Matambiko.

Biashara sio rahisi kiwango hicho! Wote tungekuwa matajiri.
hahahahaaaaa
 
Sio mtaalam wa biashara za madini

Ila Kuna mwamba katoa Uzi wake wa majuto ya biashara ya madini,

Wengi wametoa comments zao naona zimekaa vibaya vibaya,zinatisha.

Binafs
Nakutakia kila la heri mkuu[emoji120]
Sawa mkuu...kila heri kwako pia katika shughuli zako
 
Watu wenye tabia na ujuaji wako ndo husababisha watu honesty kuingia hasada na kufilisika.

Hakuna mfanya biashara timamu mwenye assurance kama zako! Uwekezaji ni jambo serious.
Hya bwana
 
Ujaweka gharama zifuatazo:

  • change of govt policies.
  • Risk.
  • Reality...
  • Matambiko.

Biashara sio rahisi kiwango hicho! Wote tungekuwa matajiri.
Biashara sio ngumu kiasi hicho....ndo maana wengi ni maskini maana hatuna uthubutu....kila kitu kwetu ni UTAPOTEZA HELA
 
Sio mtaalam wa biashara za madini

Ila Kuna mwamba katoa Uzi wake wa majuto ya biashara ya madini,

Wengi wametoa comments zao naona zimekaa vibaya vibaya,zinatisha.

Binafs
Nakutakia kila la heri mkuu[emoji120]
KWenye biashara ya madini kuna watu wametusua mbaya mkuu....hukuna kitu ambacho hakina kupoteza chief...wewe kama umaeamua kuwa mfanyakazi endelea kuwa mfanyakazi...maana huku kwenye biashara sio kurahisi kiivyo...
 
Shida yako una wivu wa kike na mambo ambayo huna hata uwezo wa kuyafanya
Kwa lugha kama hizo unategemea kupata mwekezaji hauko serious, mimi nafanya hiyo kitu ila all in all hiyo biashara ni 50% 50%. Hamna mambo ya uhakika, jambo usilolijua usiliongelee mi nina uzoefu wa hiyo kazi na ninafanya hadi sasa. Maduara, plant vyote ninavyo....

98% ya wanaonunua marudio wanaangukia pua. Unabisha?
 
Biashara sio ngumu kiasi hicho....ndo maana wengi ni maskini maana hatuna uthubutu....kila kitu kwetu ni UTAPOTEZA HELA

Usiseme hivyo, ni kwamba hatujuani, mimi nimefanya biashara na zero capital kuanzia, na kuna wakati sales zangu kwa mwaka zilifika 1bn.

Nataka nikueleze, biashara sio hesabu hizo hapo za karatasi, kabisa, kwenye hizo hesabu umeongelea leseni? Na gharama nyingine achana na VAT.


Biashara sio profil and loss account, haya mambo magumu sana, ukifanya masihara inaweza kukugeuka mpaka ukasahau flies ipo wapi wakati wa haja ndogo
 
Sio mtaalam wa biashara za madini

Ila Kuna mwamba katoa Uzi wake wa majuto ya biashara ya madini,

Wengi wametoa comments zao naona zimekaa vibaya vibaya,zinatisha.

Binafs
Nakutakia kila la heri mkuu[emoji120]
Shida ni gharama za uendeshaji ni kubwa mnoo kwa hiyo ukiikamia halafu ukatamanishwa mbele sijui utapata kilo 3 sijui 4 hapo utafilisika ni kuifanya mdogo mdogo
 
KWenye biashara ya madini kuna watu wametusua mbaya mkuu....hukuna kitu ambacho hakina kupoteza chief...wewe kama umaeamua kuwa mfanyakazi endelea kuwa mfanyakazi...maana huku kwenye biashara sio kurahisi kiivyo...
Nikusahihishe,
Mimi Ni mfanyabiashara wa vitu today kabisa

Ila kiukweli kwny madini Sina uzoefu wowote ule.

Ni biashara nnayoitamani,
Ndo maana nategemea rating na comments za wadau wataalam Kama nyie kuweza kuchanganua hayo mambo

Siwez kuingia uko kichwa kichwa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…