As Salaam alaykum
Ninatafuta patner kwenye Kilimo kuwekeza na kufanya kazi nami Tanga.
Tutafikiri pamoja mazao gani yatalipa. Na eneo ya kuuza. Baadae tutafuta shamba na wafanyakazi husika.
Kwa mfupi, ninawatafuta watu na characteristic hizi.
* Tanga
* Mtaji hata mdogo
* Mwaminifu
* Anajua kutumia Skype
Ukifahamu vizuri, tunataka kufanya biashara ya agro
Ninatafuta patner kwenye Kilimo kuwekeza na kufanya kazi nami Tanga.
Tutafikiri pamoja mazao gani yatalipa. Na eneo ya kuuza. Baadae tutafuta shamba na wafanyakazi husika.
Kwa mfupi, ninawatafuta watu na characteristic hizi.
* Tanga
* Mtaji hata mdogo
* Mwaminifu
* Anajua kutumia Skype
Ukifahamu vizuri, tunataka kufanya biashara ya agro

