Natafuta perfect woman awe mke wangu

Natafuta perfect woman awe mke wangu

Nimesoma sentence ya kwanza tu nikaacha.

Nakushauri ufute kauli yako ya uperfectionist.. Hakuna kiumbe kama hicho dunia hii.

Nobody is Perfect, I am Nobody. [emoji23]
 
Madhara ya tamthilia yameanza kujionyesha waziwazi achana na madrama sijui ya kihindi kichina sijui kifilipino nk nk amna maisha kama yale karibu duniani mzee kaka unavojiona perfect usidhani na mdada utakaempata atakuona perfect ivoivo....anyway pengn yupo muimu utuletee mrejesho.
 
Kwanza niweke wazi mimi ni miongoni mwa binadamu waliokamilika kila idara “Perfectionist” so sinaga habari hovyo mimi mambo ni clear huwa sikosei. I’m serious guy, focused and faithfully to GOD. Ni mchapa kazi, napenda western culture, utani, eating good na najikubali nilivyo, muwazi, huwa sina masihara kwa vitu vya kijinga huwa napatwa na hasira ila naji control kawa sababu ya uperfectionist.
Mimi namtaka mwanamke mrembo rangi yeyote hata cheusi fresh tuu kikubwa mwanamke wa kukiji haja zangu.
Sifa zake
1/Awe mcha MUNGU wa kweli na atakua mkristo kama mimi.
2/Mchapa kazi, asiependa makuu bali mtu wa kutembea na hali halisi.
3/Elimu kuanzia darasa la saba hadi degree.
4/Kazi yake sitaki iwe daktari, siasa, askari au mtu wa kusafiri safiri.
5/Awe mpole ila sasa mtata asietaka ishu za kijinga. Sihitaji mama huruma bali nataka kitu kilichoperfect.
6/Awe mwenye akili nyingi sana.
7/Awe na kimo kisichozidi 5ft na kisiwe chini ya 4.5 feet.
8/Awe bikra na umbo ni shape number 8.
9/Awe tayari kuishi popote pale kwa muda wowote.
10/Umri ni miaka 20 hadi 25.
11/Awe tayari kwa mimi kuwa na mchepuko mmoja hili swala haliepukiki kwa sababu mwanamke mmoja hatoshi hili lipo wazi na kuwa na wake wawili kwa uchumi huu ni haliwezekani.
12/Swala la watoto ni majaliwa ya MUNGU, mimi nataka mwanamke asiependa kuzaa kwa sababu sitaki mtoto!
13/Nataka tuishi dunia yetu so mwanamke wa aina hii atakua kashushwa mbinguni! Najua wapo ila inahitaji jitihada nyingi kuvuta ndani chombo kama hiki.


NB: Nina elimu ya degree miaka 23, mweupe, sio mrefu, ni kijana makini na mchpa kazi. Nipo well informed, nina discipline pia na ninapendwa na wanawake wengi.
Plz nipo serious kama huna vigezo vyote nilivyotaja hapo juu basi hujakidhi vigezo so naomba sana jali time na hisia za mtu. Ukikidhi vigezo karibu nafurahi uwe wangu niwe mumeo uwe mke wangu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nimejikuta tu nimecheka[emoji23]
 
nkuulize swali..vigezo vyote ulivyotaja je huyo mwenye hizo sifa akijitokeza wewe utakuwa na sifa zake?
i mean hata sisi wanawake tuna vigezo vyetu lukuki vinsvomfanya mwanaume aonekane perfect kwetu...unavyo?
mfano ye anataka mwenye six pack wakati huna ilhali ye anayo hiyo figure namba nane..
yupo perfect kwako wakati yeye anataka mrefu wa futi 6 wakati we mfupi..
mwanamke yeyote mwenye akili timamu na anejijali hawez kukubali kushea mapenzi na malaya wa nje..na magonjwa yote haya...labda hajipendi.
na bikra zinahesabika..walokole wenyewe bikra hawana unataka uwekewe ya bandia?kama unaitaka nenda shule ya msingi utaipata.

tafuta mke ukifika miaka 28
ni ushauri tu
Mkabidhi MUNGU maisha yako kila utakachohitaji atakupatia.
Nikuulize wewe unamjua MUNGU?
Mimi ninamjua ndio maana nina Imani na ninachokifanya.
 
Madhara ya tamthilia yameanza kujionyesha waziwazi achana na madrama sijui ya kihindi kichina sijui kifilipino nk nk amna maisha kama yale karibu duniani mzee kaka unavojiona perfect usidhani na mdada utakaempata atakuona perfect ivoivo....anyway pengn yupo muimu utuletee mrejesho.
Mtafute MUNGU ndio utajua ninaongea nini hapa.
 
Aya mtumishi uje utushuhudie ukimpata uyo perfect girl
Tatizo nyinyi mnatumia mawazo ya kibinadamu. Mawazo na njia za MUNGU sio kama za wanadamu na hazichunguziiki wewe unapoona umefika mwisho kwa MUNGU ndio bado kabisa.
 
Thread yenyewe inaonekana ni ya mwanaume mpaka poda na necklace shingoni.
 
JF user, asante kwa uzi, katika top five yako utakao wapata, connect me the rest after your choice for my consideration too. Keep me posted brother, pm.
 
Mkuu hizo sifa unatania au unamaanisha? Maana naona kama hauko serious
 
JF user, asante kwa uzi, katika top five yako utakao wapata, connect me the rest after your choice for my consideration too. Keep me posted brother, pm.
Vigezo vyako vinafanana na vya kwangu kwa asilimia 100%
 
Back
Top Bottom