Natafuta perfect woman awe mke wangu

Natafuta perfect woman awe mke wangu

Ila miaka 23 mwanaume anawaza kuoa na mchepuko juu.
Mimi ni muwazi ndio maana sipendagi unafiki aisee hili ni la kweli.
Ngoja nikuulize wewe unaamini yupo mwanaume wa kukaa na mwanamke mmoja?
Kwangu mimi naweza amini kwa wale waliobarikiwa na MUNGU ila nakwambiw wengine hata mchepuko hatoshi bali michepuko mingi ita make sense.
 
Hakuna kiumbe kilichokamilika chini ya jua.Hebu rekebisha kwanza uzi wako.
 
Huu Uzi wa leo kiboko.kabisa nijitunze nikupe bikra af nikuruhusu uwe na mchepuko???labda nisijue. Hiki kigezo kimenishinda.mpaka hapo u're not perfect unless umebadilisha hicho
 
Huu Uzi wa leo kiboko.kabisa nijitunze nikupe bikra af nikuruhusu uwe na mchepuko???labda nisijue. Hiki kigezo kimenishinda.mpaka hapo u're not perfect unless umebadilisha hicho
Unalipa? kama Yes mchepuko nitaondoa ila kwa kuwa umeniambia kwa siri basi haina shida usijali.
 
Mbna sasa nishajua!???kwa style hiyo siwez ona umuhimu wa kukutunzia bikra yangu
Wala usijali najua utanitosha kwa sababu mambo ya michepuko yanasababishwa na kutokutosheka kimahitaji.
Ukilifahamu hilo sahau kuhusu mwanaume wako kuchepuka.
 
Unajiitaje perfect Wakati upo single? perfect asingetafuta mwanamke tena nyuma ya keyboards
 
Hahahahah
Ndio japo wanawake wengi hawalifahamu hili...
Pia kuna wanaume wengine niseme hawaridhiki yani wana tamaa kwamba kila kitu apitie ila kwangu mimi natosheka kwa sababu sinaga uroho as I know nothing new.
Kuna principle ukizitembelea maishani basi ni mwendo wa kutusua tuu moja wapo ni hii "Nyama ni ile ile utamaliza mabucha lakini nyama ni ile ile" so kilichopo akilini mwako ndicho kinachokuongoza.. That is mentality so program your mind well and you will enjoy life as well.
 
Ndio japo wanawake wengi hawalifahamu hili...
Pia kuna wanaume wengine niseme hawaridhiki yani wana tamaa kwamba kila kitu apitie ila kwangu mimi natosheka kwa sababu sinaga uroho as I know nothing new.
Kuna principle ukizitembelea maishani basi ni mwendo wa kutusua tuu moja wapo ni hii "Nyama ni ile ile utamaliza mabucha lakini nyama ni ile ile" so kilichopo akilini mwako ndicho kinachokuongoza.. That is mentality so program your mind well and you will enjoy life as well.
Why umwbadilisha mawazo mkuu?mwanzo umesema utakua na kamchepuko kamoja tu
 
Back
Top Bottom