Natafuta perfect woman awe mke wangu

hajazaliwa bado, age yako na uliyoyaandika bado hujakomaa kiakili kuweza kuishi na mke.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2][emoji23][emoji23][emoji2][emoji23][emoji2][emoji23][emoji23][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Maisha hayajakupiga bado uko foolish age ukisota mtaani kama miaka 7 hivi hiyo ndoa utaona kama jela ya guantanamo
 
Maisha hayajakupiga bado uko foolish age ukisota mtaani kama miaka 7 hivi hiyo ndoa utaona kama jela ya guantanamo
Nyinyi ndio ambao hamkujipanga kabla ya kuingia katika ndoa.
Sisi huwa tunakichunguza kitu kwanza mkuu kabla ya kukichukua.
Life is not easy ndio maana tuna fight hard.
 
hajazaliwa bado, age yako na uliyoyaandika bado hujakomaa kiakili kuweza kuishi na mke.
Kama unaishi kwa kumtegemea MUNGU basi mambo yako yatakua okay.
Tatizo ni pale tunapotumia akili zetu pekee pasipo kumtanguliza MUNGU kwanza.
Mume, Mke na ndoa ni masuala ya kiimani zaidi! Ndoa inajengwa katika msingi wa imani kwa hiyo ni lazima umtangulize MUNGU na umsikilize MUNGU.
Wapo ambao hawakumsikiliza MUNGU wakafata vichwa vyao sasa wanawake waliowaoa wameachana nao, ndoa zao hazina furaha, wengine wamepata magonjwa na mateso mbalimbali.
Shuhuda zipo humu so keep GOD first kama wataka kufika mbali ndugu yangu.
Msikilize MUNGU kwanza ndipo utumie utashi wako maana MUNGU anasema tuishi kwa akili na wake zetu.
 
Hatuna perfect woman kuna wife material
Kiimani yupo ndugu kama unamwamini MUNGU maana yeye ni muweza wa yote.
Ila MUNGU anasema hakuna aliekamilika ila naamini yeye akitaka mtu wake anakamilika.
 
He wewe ni perfect?!!!
Kiimani yupo ndugu kama unamwamini MUNGU maana yeye ni muweza wa yote.
Ila MUNGU anasema hakuna aliekamilika ila naamini yeye akitaka mtu wake anakamilika.
 
Nobody is perfect!!! Pendekeza vigezo vyako tu walau akikidhi viwili/vitatu beba weka ndani
 
Ungekuwa ushampata mkuu kama uko perfect.
 
Vigezo ulivyo viweka ni vya akina dada 11 tofauti. sirahisi kupata vyote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…