Natafuta Rafiki, Mchumba

 
Naitwa sam naishi dar natafuta mwanamke mwenye umri kati ya miaka 20-30 awe na heshima, mwaminifu, tabia zinazopendeza kwenye jamii, kwa upande wa dini sibagui digi wala kabila namba yangu 0713998604.Sammy

Bandugu haupo romantic kabisa. Bora ungesema natafuta mwanamke awe mwenza/mchumba/mke.
Sentesi tata hii. Anyway,ufanikiwe Sam ukimpata huyo mwanamke!..
 
Well kwa jina naitwa sam -- ni kijana mwenye umri wa miaka kati ya 25 na 30 mwenyeji wa mikoa ya kanda ya ziwa , mwili wangu ni wastani na rangi ya ngozi yangu ni kahawia - sijawahi kuowa wala kuolewa ( siku hizi wanaume wanaolewa ) - nimeajiriwa katika sekta binafsi mjini dar es salaam

napenda kujitokeza katika jukwaa hili kutafuta mwanamke ambaye hapo baadaye tunaweza kufanga nae pingu za maisha , awe mstaarabu , mwenye kuvutia , umri wake kuanzia miaka 23 mpaka 30 awe anafanya kazi au kajiajiri mwenyewe

mwisho napenda awe hajawahi kuwa katika ndoa yoyote ile -- mimi ndio niwe wakwanza nae
 
Bandugu haupo romantic kabisa. Bora ungesema natafuta mwanamke awe mwenza/mchumba/mke.
Sentesi tata hii. Anyway,ufanikiwe Sam ukimpata huyo mwanamke!..

Sasa awe romantic kivipi wakati ndo bado yuko kwenye mchakato wa kumpata huyo mwanamke? Akishampata ndio ataonyesha romantic side yake na huyo mwanamke.
 
Sasa awe romantic kivipi wakati ndo bado yuko kwenye mchakato wa kumpata huyo mwanamke? Akishampata ndio ataonyesha romantic side yake na huyo mwanamke.

Kweli akimpata ndo awe romantic lakini alivyoandika mmh! anyway kila mtu na mtazamo wake..Pia katika mchakato mzima inabidi uvutie
 
Mtu akibeat around the bush mnalalaika, akiwa straight forward manasema tangazo lake linatisha sasa afanyeje?
 
Hivi nyie watu namna gani? Mnamuuliza anatafuta Mwanamke wa nini!! Hamjua kabisa Mwanamme akitafuta Mwanamke huwa ni wa kazi gani? Du!!! Mnanitia mashaka.
 
Ndugu yangu Sam unataka wewe ndio uwe wa kwanza!!!!!!!!! I doubt
 
Unatafuta mwanamke wa jinsi gani? Kwanza ungetoa sifa za mwanamke unayetaka aweje kiumbile, kimasomo na dini.
 


Wewe ndo uwe wa kwanza? Nani kasema? Kubali kula vilivyoishamegwa, huko kote watu wameshapita.
 
[/B]

Wewe ndo uwe wa kwanza? Nani kasema? Kubali kula vilivyoishamegwa, huko kote watu wameshapita.

ana maana ana shida tu ya kuwa wa kwanza baada ya hapo Masanilo akipita akimega ti... haina noma kwa sababu wewe shida yako ni kuwa wa kwanza,bora utafute msichana ambaye wewe utakuwa wa mwisho kwake.
 

Shy, msaada wako utasaidia nadhani.
Kumbe Sam ni mwenyeji wa ukanda wa gaza....., kule kwa akina Mama nanii rara chini nkurenge...., teh teh teeeeh.
 
Unatafuta mwanamke wa jinsi gani? Kwanza ungetoa sifa za mwanamke unayetaka aweje kiumbile, kimasomo na dini.

hehehe unafukuzia tenda hiyo nini?
hahahaha watu tupo single wengi humu lakini kumbuka Masanilo ameoa lakini yupo tayari kutoka nje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…