Masanilo na Yo Yo mje tender hiyoooooooooooo...najua mtakuwa na vigezo.
Mi nimeshindwa kigezo kimoja...
Ongea kikubwa unaweza onewa huruma kwa kukosa hicho kigezo kimoja.
Kigezo gani hicho kimekutoa out?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Masanilo na Yo Yo mje tender hiyoooooooooooo...najua mtakuwa na vigezo.
Mi nimeshindwa kigezo kimoja...
Salaams!
Wapendwa mie natokea hapa kwa mara ya kwanza kabisa, shida yangu kubwa natafuta mchumba mwema anaemaanisha na ambae tayari alitendwa na hayupo tayari tena kutendwa! I am ready for long relationship! Umri ni kuanzia 30 mpaka 37, awe muislam itakuwa vema zaidi, kwa aliye tayari asisite kuwasiliana na mimi!
I mean it wapendwa
Salaams!
Wapendwa mie natokea hapa kwa mara ya kwanza kabisa, shida yangu kubwa natafuta mchumba mwema anaemaanisha na ambae tayari alitendwa na hayupo tayari tena kutendwa! I am ready for long relationship! Umri ni kuanzia 30 mpaka 37, awe muislam itakuwa vema zaidi, kwa aliye tayari asisite kuwasiliana na mimi!
I mean it wapendwa
Maadamu kuna watu kadhaa wanatafuta wachumba ( wanawake kwa wanaume) ningeshauri wale woooote wenye hilo hitaji wajiorodheshe wajina na wasifu wao na pia wanataka nini halafu hayo maombi/matangazo yabandikwe humu kisha wenyewe wafanye uchaguzi ( matching their needs and what is available) hii labda ingerahisisha mchakato zaidi kuliko kuendelea kuwauliza maswali na kuwachelesha.
Au mnasemaje waungwana?
Ms Chite mbona kimya hivoo. Tangu umeleta mada huyooo kimya. Au wamezidi kukutenda bibie? Japo utujuze kama tayari tufunge hii mada. Usijekuta unalia kwa majibu ya humu?
Masanilo na Fidel mmbembeleze bibie atulie ili atujuze kama kuna ambaye amefikia vigezo!
Date/meet online ndani ya JF au?
Wazo zuri WoS, itasaidia wengi kupata wenza wa maisha.
acha ulofa kaka mchumba anatafutwa kwa staili hiyo kakwambia nani? huo ni wizi mtupu
Salaams!
Wapendwa mie natokea hapa kwa mara ya kwanza kabisa, shida yangu kubwa natafuta mchumba mwema anaemaanisha na ambae tayari alitendwa na hayupo tayari tena kutendwa! I am ready for long relationship! Umri ni kuanzia 30 mpaka 37, awe muislam itakuwa vema zaidi, kwa aliye tayari asisite kuwasiliana na mimi!
I mean it wapendwa
I smell unatafuta umaarufu.
kama si hivyo basi be active jibu hoja za wadau hapa.
Shostito,yupo busy na PM, atarudi...lol! haya majibu ya humu yamemkatisha tamaa mrembo, we Fidel si ufike bei?
Shostito,
Ina maana Fidel ndo yuko kwenye PM na ......???
ndo manake shost, ajibaraguza tu hapa"hit n run" kumbe hana lolote...lol
sasa na nyinyi kina kaka mtu amekuja kwa heshima mara mnaanza kumuomba tigo sijui si mngemwandikia private tu jamani si mnajua tena hayo makubaliano ya watu wawili mtu hawezi kukubali hadharani
sorry kama nimewaudhi