Natafuta rafiki mwanaume

Natafuta rafiki mwanaume

Sasa hao watoto kapataje kama hana mke, weka wazi awe mgane (aliyefiwa na mke) au awe mzinzi ambaye hajui thamani ya watoto huyo utampata
 
Upo siliazi kweli my age 45,nina kazi na maisha yangu yapo Ppouwa ila siyo sana najiweza kifedha kidogo,nipo single ila kwa sasa ndiyo natafuta mweza wangu
 
Siji in box bia NNE juu yangu jumla nane
 
Back
Top Bottom