Natafuta rafiki wa kike

Natafuta rafiki wa kike

Kumbe nimkuwa mkubwa sasa,enzi zangu usingetoboza
 
Hiyo miaka umefanya gali sana jaman punguza apo hata tano ila kwa mimi ntataka na majukumu mengine pia kama umeme kukatika maana mie mchapa kaz kwel ctoshek na kaz chache mie c wakispot spot
 
Natafuta rafiki Wa kiume umri kuanzia miaka 29 kuendelea awe anapenda kuchat awe ana nitafuta Mara kwa Mara

Kama hupendi kuchat usinitafute maana naitaji rafiki Wa kunitoa upweke
Duuh 29 Bado anapennda kuchat tuuu, duuh Hilo janga c bure
 
Yaani ondoa Shaka nitakuwa nakutumia text message muda wote ila nimekutumia moja haijafika mkuu [emoji23][emoji23][emoji23]
Ngoja kwanza utakuwa unanitext nini mida wote?🤔 Usije ukaniletea zile tabia zenu za kusalimia kutwa nzima...Unaanza Hello nikijibu, unatuma 'Mambo' nikijibu, unatuma 'Uko poa' nikijibu, unaendelea 'Za wewe?' .......😕 Basi inakuwa kusalimiana tuuuuu kutwa nzima.
Niambie kabisa utakuwa unanichatisha nini muda wote?
 
Ngoja kwanza utakuwa unanitext nini mida wote?[emoji848] Usije ukaniletea zile tabia zenu za kusalimia kutwa nzima...Unaanza Hello nikijibu, unatuma 'Mambo' nikijibu, unatuma 'Uko poa' nikijibu, unaendelea 'Za wewe?' .......[emoji53] Basi inakuwa kusalimiana tuuuuu kutwa nzima.
Niambie kabisa utakuwa unanichatisha nini muda wote?
Thanks for making me laugh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
How did you know that I am that kind of Men who loves to say hi, hello all the time
So this makes my request to be disqualified
 
Ngoja kwanza utakuwa unanitext nini mida wote?[emoji848] Usije ukaniletea zile tabia zenu za kusalimia kutwa nzima...Unaanza Hello nikijibu, unatuma 'Mambo' nikijibu, unatuma 'Uko poa' nikijibu, unaendelea 'Za wewe?' .......[emoji53] Basi inakuwa kusalimiana tuuuuu kutwa nzima.
Niambie kabisa utakuwa unanichatisha nini muda wote?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ngoja kwanza utakuwa unanitext nini mida wote?[emoji848] Usije ukaniletea zile tabia zenu za kusalimia kutwa nzima...Unaanza Hello nikijibu, unatuma 'Mambo' nikijibu, unatuma 'Uko poa' nikijibu, unaendelea 'Za wewe?' .......[emoji53] Basi inakuwa kusalimiana tuuuuu kutwa nzima.
Niambie kabisa utakuwa unanichatisha nini muda wote?
kwani kuna cha zaidi ya hizo salamu na kuulizana umekula, umeshindaje, upo wapi na nani, unafanya nini!!!!!!!

hizo ndio point kuu ktk kuchat muda wote kama mtu upo tu kama mimi, mimi pia napenda kuchat [emoji5][emoji2][emoji2][emoji2][emoji3][emoji38][emoji28][emoji5][emoji3][emoji119][emoji119][emoji137][emoji137][emoji137][emoji137][emoji65][emoji65][emoji65][emoji126][emoji126][emoji126][emoji141][emoji123][emoji106]
 
Ngoja kwanza utakuwa unanitext nini mida wote?🤔 Usije ukaniletea zile tabia zenu za kusalimia kutwa nzima...Unaanza Hello nikijibu, unatuma 'Mambo' nikijibu, unatuma 'Uko poa' nikijibu, unaendelea 'Za wewe?' .......😕 Basi inakuwa kusalimiana tuuuuu kutwa nzima.
Niambie kabisa utakuwa unanichatisha nini muda wote?
hahahahahah ulijuaje kama hili ni tatizo mkuu, hatari sana!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
kwani kuna cha zaidi ya hizo salamu na kuulizana umekula, umeshindaje, upo wapi na nani, unafanya nini!!!!!!!

hizo ndio point kuu ktk kuchat muda wote kama mtu upo tu kama mimi, mimi pia napenda kuchat [emoji5][emoji2][emoji2][emoji2][emoji3][emoji38][emoji28][emoji5][emoji3][emoji119][emoji119][emoji137][emoji137][emoji137][emoji137][emoji65][emoji65][emoji65][emoji126][emoji126][emoji126][emoji141][emoji123][emoji106]
Leo mmenithibitishia msemo wa kijiwe chetu wadada kuwa 'Wanaume wote baba mmoja mama mmoja' yaani akili zenu zinafanana[emoji53]

Kwamtindo huo sichat na nyinyi, ngoja niendelee kusubiri hapa mtu atakayeweza kunichatisha vya maana kama 'Hey lady ushapata msosi? Nakutumia 100k ukale sato maana najua ndo ugonjwa wako'[emoji6]
 
Leo mmenithibitishia msemo wa kijiwe chetu wadada kuwa 'Wanaume wote baba mmoja mama mmoja' yaani akili zenu zinafanana[emoji53]

Kwamtindo huo sichat na nyinyi, ngoja niendelee kusubiri hapa mtu atakayeweza kunichatisha vya maana kama 'Hey lady ushapata msosi? Nakutumia 100k ukale sato maana najua ndo ugonjwa wako'[emoji6]
cc lucas mobutu

huyu baba ake na mama ake ni tofauti na wetu...mpe tu namba sasa atakuchatisha vyema [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]

ngoja nisubiri wa kuendana nae kuchat.
 
Thanks for making me laugh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
How did you know that I am that kind of Men who loves to say hi, hello all the time
So this makes my request to be disqualified
Hii ndio aina ya chatting ya vijana wengi wasio na shughuli nyingi za kufanya,,,kwa kuongezea tu hapo "sahivi unafanya nini my", "karibu tule", "mi ndio nalala my", "upo kimya my" hahahaha and the list goes on! Ni muendelezo wa viswali vya kijinga na kujikomba kwa kasi ya 4G huku demu akikuona bonge la mshamba!
 
Hii ndio aina ya chatting ya vijana wengi wasio na shughuli nyingi za kufanya,,,kwa kuongezea tu hapo "sahivi unafanya nini my", "karibu tule", "mi ndio nalala my", "upo kimya my" hahahaha and the list goes on! Ni muendelezo wa viswali vya kijinga na kujikomba kwa kasi ya 4G huku demu akikuona bonge la mshamba!
Vijana wanazingua sana, lakini nafikiri ni interest tu mkiwa na common interests kwenye maeneo mengi yatakuwepo maana
 
Thanks for making me laugh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
How did you know that I am that kind of Men who loves to say hi, hello all the time
So this makes my request to be disqualified
Nilijua tu! Siku utakayoamua kubadilisha hiyo namna ya kuchat kwako unitafute tuchat[emoji53][emoji53]
 
Back
Top Bottom