Natafuta rafiki wa kike

Natafuta rafiki wa kike

Habari za wakati Huu Chiefs....natumaini mnaendelea vema. Leo naomba nami niwe miongoni mwa wale wanaoomba kuoata marafiki wa maisha kupitia JamiiForum.

Mimi ni Kijana nliezaliwa na Kukulia Tarime Mkoani Mara.

Elimu yangu ni kidato cha NNE
Ni mjasiriamali (Photographer) sikubahatika kuajiriwa.

Mkristo (SDA) kwa imani yangu! Kwa sasa naishi Dar Ilala hapa.

Najitokeza kutafta rafiki wa kike kwa ajili ya kujenga nae mahusiano mema. ( kama tutaendana bas siku moja tuishi pamoja)

Napenda kusikiliza muziki laini, kupika, kusoma vitabu, kuogelea na Kupiga picha.
Napenda kujifunza vitu vipya.

Napenda rafiki awe mpole, msikivu, mvumilivu na mnyenyekevu, sichagui imani yake.

Awe na miaka 23-26. Akiwa mjasiriamali itapendeza pia akiwa muajiriwa ni vema.

Asanteni kwa Leo!
 
Habari za wakati Huu Chiefs....natumaini mnaendelea vema. Leo naomba nami niwe miongoni mwa wale wanaoomba kuoata marafiki wa maisha kupitia JamiiForum.

Mimi ni Kijana nliezaliwa na Kukulia Tarime Mkoani Mara.

Elimu yangu ni kidato cha NNE
Ni mjasiriamali (Photographer) sikubahatika kuajiriwa.

Mkristo (SDA) kwa imani yangu! Kwa sasa naishi Dar Ilala hapa.

Najitokeza kutafta rafiki wa kike kwa ajili ya kujenga nae mahusiano mema. ( kama tutaendana bas siku moja tuishi pamoja)

Napenda kusikiliza muziki laini, kupika, kusoma vitabu, kuogelea na Kupiga picha.
Napenda kujifunza vitu vipya.

Napenda rafiki awe mpole, msikivu, mvumilivu na mnyenyekevu, sichagui imani yake.

Awe na miaka 23-26. Akiwa mjasiriamali itapendeza pia akiwa muajiriwa ni vema.

Asanteni kwa Leo!
Hamia BADOO mzee huku hakuna
 
Wanawake walivyojaa hamuwaoni mpaka mitandaoni....

Ipo siku mtakujaomba huku mitandaoni mtu wa kuwatilia mimba!
 
Unatokea kanda maalumu halafu unasikiliza muziki laini.....Wanaume wa mikoani mnalegeza siku hizi tutawavesha kanga!
 
Habari za wakati Huu Chiefs....natumaini mnaendelea vema. Leo naomba nami niwe miongoni mwa wale wanaoomba kuoata marafiki wa maisha kupitia JamiiForum.

Mimi ni Kijana nliezaliwa na Kukulia Tarime Mkoani Mara.

Elimu yangu ni kidato cha NNE
Ni mjasiriamali (Photographer) sikubahatika kuajiriwa.

Mkristo (SDA) kwa imani yangu! Kwa sasa naishi Dar Ilala hapa.

Najitokeza kutafta rafiki wa kike kwa ajili ya kujenga nae mahusiano mema. ( kama tutaendana bas siku moja tuishi pamoja)

Napenda kusikiliza muziki laini, kupika, kusoma vitabu, kuogelea na Kupiga picha.
Napenda kujifunza vitu vipya.

Napenda rafiki awe mpole, msikivu, mvumilivu na mnyenyekevu, sichagui imani yake.

Awe na miaka 23-26. Akiwa mjasiriamali itapendeza pia akiwa muajiriwa ni vema.

Asanteni kwa Leo!
Hivi kupika nayo inaweza kuwa hobby ya mwanaume tena wa TARIME ?[emoji1]
 
Back
Top Bottom