Hahaha hahaha wee mchokoziHutokwenda kuchimba chumvi huko unakwenda kuchimba mavi.[emoji23]
Ndukiiiii [emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Hii mtu anatafutwa kwa indirect way..ila mitandao sikuhz imerahisisha mambo mnakutana wote wa aina. Moja
Dah mwanangu uko mtaani huna washikaji adi utafute rafiki wa kiume uku mtandaoni..
Inakuaje apo..
Mimi ni msichana wa miaka 20's nina tafuta rafiki wa kiume mwenye miaka 20 -29.
Wa kuchat chat tuUrafiki wenu na huyo mwanaume utakuwa urafiki gani?
UNATAFUTA WAKATI NIPO?????
[/QUO🙄😲
Hee!! Kwani mimi nmekwambia nahitaji pesa
🤣🤣🤣Eyoooo! Come on my dear" haya maneno yangu sikia"kuna kitu nataka kukuambia" vip utakuwa na kiuno chakukukamatia"japo kwenu dar ila mm mwanaume wa njombe"nitakuoa kwa njiwa japo kwenu Mali ng'ombe"
Sent using Jamii Forums mobile app
AsanteMpaka sasa wewe ni rafikiangu
Naona unacheeeeeka mwenyewe"nikubalie basi nikuwowe"[emoji1787][emoji1787][emoji1787]