Natafuta rafiki wa kike

Natafuta rafiki wa kike

Wewe sema unatafuta kidume cha kukubashabasha. Kama ni urafiki tu mwenye mke hana shida gani? Mbona unamkataa.
 
Eyoooo! Come on my dear" haya maneno yangu sikia"kuna kitu nataka kukuambia" vip utakuwa na kiuno chakukukamatia"japo kwenu dar ila mm mwanaume wa njombe"nitakuoa kwa njiwa japo kwenu Mali ng'ombe"

Sent using Jamii Forums mobile app
Sikia hizi swagga usipime, na kama unabisha chukua jembe ukalime, kwenye shamba,we mshamba, huwez kwenda sambamba na hivi vitu vikali labda kwa mitishamba, sikia nachomoka najivua gamba, mana nisije wekwa kikao kama yusuphu makamba, waliembamba na sauti akitamba, usinisahau kama mimi ni yuleyule msuva mzee wa kamba,mwanangu unajigamba na mimi na hivi ndo natamba njoo mgodini upate gesi ila usje jambaa...
(Chorus)..dada omba namba omba namba ×3...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sikia hizi swagga usipime, na kama unabisha chukua jembe ukalime, kwenye shamba,we mshamba, huwez kwenda sambamba na hivi vitu vikali labda kwa mitishamba, sikia nachomoka najivua gamba, mana nisije wekwa kikao kama yusuphu makamba, waliembamba na sauti akitamba, usinisahau kama mimi ni yuleyule msuva mzee wa kamba,mwanangu unajigamba na mimi na hivi ndo natamba njoo mgodini upate gesi ila usje jambaa...
(Chorus)..dada omba namba omba namba ×3...

Sent using Jamii Forums mobile app
Naona unanichana kwa mbwembwe na visa"kwanza mm lijari ww nyoka wa kibisa"kweli ww kituko unataka demu na hauna pesa"mm baba yako hata kama hautaki"hebu njoo hapa nikukaange kama samaki"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom