Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,041
- 13,907
Unaishi maeneo gani boss?Sijakuelewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaishi maeneo gani boss?Sijakuelewa
Mkuu ni kiangalia naziona tu rist za western union, sijui barua mzee alikuwa anachoma ,majina yapo lakin anuani ya posta hakunaTafuta barua za baba yako bilashaka utapata anwani za marafiki wa baba yako na unaweza ukaendeleza urafiki na pia ni vizuri ukawaekeza juu ya mkasa wa mzee wako.
Mkuu ndio ni kwa waarabu lakini hawakujali ubuguzi wa kidini hata kidogo sisi ni wakristoOmani na Kuwait kwa waarabu ,duh umeeleweka,utawapata tu mkuu jipe moyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao ulio wataja siwajui mimi nilikuwa msomaji tu humu ila kwa sasa ni member mpya.Njoo na ID yako ya siku zote.. Huu muandiko kama wa Zero IQ au Kiduku Lilo
Mkuu Mimi naishi Dar es salaam, Sala salaUnaishi maeneo gani boss?
Mkuu sina kumbukumbu kama baba alikuwa anatuma zawadi, isipokuwas alikuwa akituma barua tu, Walikuwa ni marafiki waliojaa huruma na moyo wa kutusaidia tu.Familia yenu ilikuwa kujipeleka zawadi gani kwao?
Sent from my LM-Q710(FGN) using JamiiForums mobile app
Nakushukuru kwa ushauri wako ,ingawa kwa uchumi wangu itakuwa ngumu kugharimia mambo ya safari za nje kwa sasa naweza kupigania familia ipate mkate tu. Ndio maans nikaja humu Jf naamini humu ni dunia.Yaani ungekuwa na hela naamini usingehangaika kutafta hao marafiki kisa uwe unatega mkono western yunioni...! Cha kufanya wewe fanya kutafta hela uanze kutembelea hizo nchi uwapate face to face! Vya bure gharama
Nyie mliwahi peleka zawadi gani huko?
Naona shida yako kubwa ni zawadi tu. Acha kupenda kitonga.
Ingekuwa urafiki kama urafiki si tatizo. Lakini naona akili zake zipo kwenye kupokea. Sijaona sehemu kuwa baba yake ametuma zawadi nae mbali mbali. Huenda walikuwa wanamlia time mzee wake ajae.Yaani nimeona ajabu ...yuko serious kbs
Ingekuwa urafiki kama urafiki si tatizo. Lakini naona akili zake zipo kwenye kupokea. Sijaona sehemu kuwa baba yake ametuma zawadi nae mbali mbali. Huenda walikuwa wanamlia time mzee wake ajae.
Yaani eti yuko serious kabisa watu wakupege ww tu, ww unawapa nini? Halafu anasema ana familia.😀😀
Ingekuwa urafiki kama urafiki si tatizo. Lakini naona akili zake zipo kwenye kupokea. Sijaona sehemu kuwa baba yake ametuma zawadi nae mbali mbali. Huenda walikuwa wanamlia time mzee wake ajae.
Yaani eti yuko serious kabisa watu wakupege ww tu, ww unawapa nini? Halafu anasema ana familia.😀😀
Mkuu sina kumbukumbu kama baba aliwahi kutuma kitu isipokuwa nilikuwa naona barua tuNyie mliwahi peleka zawadi gani huko?
Naona shida yako kubwa ni zawadi tu. Acha kupenda kitonga.
Kila urafiki una misingi yake,Mkuu sina kumbukumbu kama baba aliwahi kutuma kitu isipokuwa nilikuwa naona barua tu
Mkuu niko serious ndio maana nikaandika hapa, ingekuwa natania ningepeleka jukwaa la JokesYaani nimeona ajabu ...yuko serious kbs
Ok kwa msaada tu kuna forum za nchi hizo pia nafikiri.Mkuu niko serious ndio maana nikaandika hapa, ingekuwa natania ningepeleka jukwaa la Jokes
Mkuu historia ya urafiki huo mzee wetu hakuwahi kutueleza. Tulichojua tu ni kuwa yeye alikuwa na marafiki toka huko.Kila urafiki una misingi yake,
Ajira,
Shughuli,
Ujirani.
Huo urafiki wa baba yako na hao waarabu uliunganishwa na nini?