Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Sasa wewe una nini?Chura wa nini tena kwani we umekua mchina wanao kula vyura?
Nina sura kwani VP?Sasa wewe una nini?
[emoji119][emoji119][emoji119]Nina sura kwani VP?
Hahahaaa wanaume wa siku hizi mnanini lakin?[emoji119][emoji119][emoji119]
Hapo kwenye umri punguza kidogo ifike japo 22[emoji4] [emoji2] utapata wengi maana hao 29 kuendelea nadhan wanawake tayari sasa itakuwa kazi sana kukutimiza haja yako.Natafuta rafiki Wa kiume umri kuanzia miaka 29 kuendelea awe anapenda kuchat awe ana nitafuta Mara kwa Mara
Kama hupendi kuchat usinitafute maana naitaji rafiki Wa kunitoa upweke
Mhuuu29 anayependa kuchat ? Hayupo
Ufungue PM wajeMhuuu
Nakuona tu unavo jichelewesha kizembe unaacha kuja pm badae uanze kumlalamikia mganga wako kwamba amekudanganya kumbe wewe tu ndo hujiongeziMhuuu
Msalimie Amber&wemaNatafuta rafiki Wa kiume umri kuanzia miaka 29 kuendelea awe anapenda kuchat awe ana nitafuta Mara kwa Mara
Kama hupendi kuchat usinitafute maana naitaji rafiki Wa kunitoa upweke