stormryder
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 3,776
- 5,786
Weka account ya Instagram... Tuyajenge, Nikuvute Canada 🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kanisani kwako hakuna mwenye hizo sifa?Wasalaam ndugu zangu.
Kama kichwa Cha habari kinavyoeleza ,mimi ni mwanamke natafuta rafiki wa kiume (mwenza). Sina vigezo vingi japo nitavitaja kwa uchache kama ifuatavyo:
Umri: miaka 40 na kuendelea
Dini:mkristu
Mwenye upendo wa kwelie so na pia awe ni muhitaji kweli wa kuishi na mke.
Akiwa single baba itapendeza
Awe pia alishapitia changamoto za mahusiano na kujifunza kupitia changamoto hizo.
Awe mkweli na muwazi ,awe pia mpenda maendeleo.
Sifa zangu:
Umri: between 30 -37
Mkristu.
Kazi: Entrepreneur
Ninapenda maendeleo pia,lakini naanini sana katika upendo wa kweli ambapo ndipo mazuri yote huzaliwa humo.
Kwa hiyo dhima kuu ya bandiko hili ni kuhitaji mwanaume mwenye upendo wa kweli .
Hivyo kwa atakayekuwa tayari tuwasiliane pm.
Asanteni nyote.
Vipi baba mtoto wako nado mnawasiliana?Wasalaam ndugu zangu.
Kama kichwa Cha habari kinavyoeleza ,mimi ni mwanamke natafuta rafiki wa kiume (mwenza). Sina vigezo vingi japo nitavitaja kwa uchache kama ifuatavyo:
Umri: miaka 40 na kuendelea
Dini:mkristu
Mwenye upendo wa kwelie so na pia awe ni muhitaji kweli wa kuishi na mke.
Akiwa single baba itapendeza
Awe pia alishapitia changamoto za mahusiano na kujifunza kupitia changamoto hizo.
Awe mkweli na muwazi ,awe pia mpenda maendeleo.
Sifa zangu:
Umri: between 30 -37
Mkristu.
Kazi: Entrepreneur
Ninapenda maendeleo pia,lakini naanini sana katika upendo wa kweli ambapo ndipo mazuri yote huzaliwa humo.
Kwa hiyo dhima kuu ya bandiko hili ni kuhitaji mwanaume mwenye upendo wa kweli .
Hivyo kwa atakayekuwa tayari tuwasiliane pm.
Asanteni nyote.
Hatari sana.Ndio mkuu
Una mtoto?.Wasalaam ndugu zangu.
Kama kichwa Cha habari kinavyoeleza ,mimi ni mwanamke natafuta rafiki wa kiume (mwenza). Sina vigezo vingi japo nitavitaja kwa uchache kama ifuatavyo:
Umri: miaka 40 na kuendelea
Dini:mkristu
Mwenye upendo wa kwelie so na pia awe ni muhitaji kweli wa kuishi na mke.
Akiwa single baba itapendeza
Awe pia alishapitia changamoto za mahusiano na kujifunza kupitia changamoto hizo.
Awe mkweli na muwazi ,awe pia mpenda maendeleo.
Sifa zangu:
Umri: between 30 -37
Mkristu.
Kazi: Entrepreneur
Ninapenda maendeleo pia,lakini naanini sana katika upendo wa kweli ambapo ndipo mazuri yote huzaliwa humo.
Kwa hiyo dhima kuu ya bandiko hili ni kuhitaji mwanaume mwenye upendo wa kweli .
Hivyo kwa atakayekuwa tayari tuwasiliane pm.
Asanteni nyote.
Ondoa hofu!, Chuchu konzi, na kishundu anacho.Yani hujataja sifà za muonekano, si mtego huu! mwisho mkionana na huyo mwenza mje kukimbiana!🤔
AiseeNdio mkuu
Moja ya vigezo vyake amesema ''Akiwa single Baba itapendeza''Una mtoto?.
Siwezi kupandisha uzi,Kumbe unatafuta mke😂 pandisha uzi
wewe huwa me kumbe???🙌Mimi nipo sema kwenye dini hapo utakubali kuja kwenye Uislamu😍
Itakua amekosea tu,alifikiri anatumia ile ID yake nyingine.hivi
wewe huwa me kumbe???🙌