Natafuta rafiki wa kiume(mwenza)

Natafuta rafiki wa kiume(mwenza)

Wasalaam ndugu zangu.
Kama kichwa Cha habari kinavyoeleza ,mimi ni mwanamke natafuta rafiki wa kiume (mwenza). Sina vigezo vingi japo nitavitaja kwa uchache kama ifuatavyo:


Umri: miaka 40 na kuendelea
Dini:mkristu
Mwenye upendo wa kwelie so na pia awe ni muhitaji kweli wa kuishi na mke.
Akiwa single baba itapendeza
Awe pia alishapitia changamoto za mahusiano na kujifunza kupitia changamoto hizo.
Awe mkweli na muwazi ,awe pia mpenda maendeleo.

Sifa zangu:

Umri: between 30 -37

Kazi: Entrepreneur
Hizo sifa hapo zina utata kidogo, entrepreneur wa genge au? Maana mtu hata akiuza nyanya tayari ni entrepreneur
 
Back
Top Bottom