Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,135
- 48,827
awe na sifa zozote isipokuwa
asiwe ameoa ila awe mtu mzima mwenzangu .greater or equal to 35! na awe na mvuto sio wote wabaya tunakaa sehemu moja.
majukumu yake
kuwasiliana na mimi mara kwa mara
kutoka out ijumaa jmosi na jpili
kutembeleana
kusaidiana
kufanya mazoezi pamoja ikiwezekana
urafiki huu sio wa kimapenzi . kama unataka mpenzi naweza kukusaidia kutafuta .
Mm nipo tayariawe na sifa zozote isipokuwa
asiwe ameoa ila awe mtu mzima mwenzangu .greater or equal to 35! na awe na mvuto sio wote wabaya tunakaa sehemu moja.
majukumu yake
kuwasiliana na mimi mara kwa mara
kutoka out ijumaa jmosi na jpili
kutembeleana
kusaidiana
kufanya mazoezi pamoja ikiwezekana
urafiki huu sio wa kimapenzi . kama unataka mpenzi naweza kukusaidia kutafuta .
Ha ha ha bora ukosema kitu kingine kuliko kuwa mpweke.hahhahah halaf upweke ni ugonjwa mbaya sana
he heYa nn ujiumize kama hauwez kuwa mpenz bas iwe tu tunafahamiana tu maswala ya kuish kama fisi kusubir mkono udondoke nan anataka
Njoo Pmawe na sifa zozote isipokuwa
asiwe ameoa ila awe mtu mzima mwenzangu .greater or equal to 35! na awe na mvuto sio wote wabaya tunakaa sehemu moja.
majukumu yake
kuwasiliana na mimi mara kwa mara
kutoka out ijumaa jmosi na jpili
kutembeleana
kusaidiana
kufanya mazoezi pamoja ikiwezekana
urafiki huu sio wa kimapenzi . kama unataka mpenzi naweza kukusaidia kutafuta .
tafuta wa kiume mimi ni wa kike ndioHuu ni urafiki wa kike.
sawaNjoo Pm
kivipiAisee!! yaani niwe mshika pembe!!!! hapana kabisa.
kutiwa nini?Sasa mbona unatuchanganya? Kwamba unatafuta lakini wa kukutia unae.??😉
wapo kibaoMiaka 35 awe hajaoa? Huyo mwanaume atakuwa na matatizo infact nipo tayari ila mke ninaye
upweke unatokea kwa yoyoteHa ha ha bora ukosema kitu kingine kuliko kuwa mpweke.
ayaDah nipo aisee.....hafu siku nyingi sana nakumezea mate! ni pm please!
pole kwaheriNmeshindwa vigezo hata kabla hajamaliza kuandika
sipangiwi mimiYaani yooooote yafanyike isipokuwa kwenda kolomije! Not to that extent aisee
hapa ni urafiki tu ndoa baadaeKama yupo tayari nitamuoa,awe straight tu,hata mim natafuta mke
hutaki basiNa uzuri huo niishie kukutoa out tu huku papuchi ale mwingine????nooo way
tafuta mpenzi kama una tamaaunakuta unatongoza demu anakuambia tuwe marafiki jamani ila mapenzi hakuna ana mpenzi wake na huku ukimuona mpaka shape ya suruali inabadilika. mie naachana naye maana siwezi kujiumiza bure.
utakufa uniacheWenzio tushakutana nao wenye itikadi hizi hizo lakin mwisho wa siku analia coz mm nilienda km rafiki tu, mara sexmate tu. Kasheshe pale utakapoanza kunishika shati wkt mm sina time. Just a friend. Wanawake mna shida sana dunia sio siri na hamna kitu mbaya km hiyo utakufa kihoro
kuna married at 20 ila wana shida shida haichagui marital statuskama single hadi 35 kuna shida
pmtuna apply wapi fursa hii
kizazi cha nyoka hakielewisijui kama watakuelewa
le mutuz?Kuna chalii yangu anaikimiza 50 yuko single bado, naye anatafuta rafiki mwanamke kama vipi nikuunganishe.
We Miss unaishi wapi.. Maana mazoezi ya pamoja na mtoko yanahitaji mtu wa mji mmoja...
Kuwa mpenzi mtazamaji sio swala jepesi hvyo
Utakua humtendei haki rafiki yako... Hutaki USB point yako itumike,.. Humtaki rafiki yako awe na mke... Mtoko ijumaa, jmosi na jpili.. Hutaki wifi?.... IKIWEZEKANA... asiwe rafiki wa mapenzi... Na ISIPOWEZEKANA.
mshana ni hb?Miss Natafuta, hebu mcheki handsome boy mshana jr
sipangiwikuwa muwazi weka nakufanya mapenzi
kwani sijatulia?Miss Natafuta hujapataga mwanaume wakukutulizaga bado????
Punguza umri basiawe na sifa zozote isipokuwa
asiwe ameoa ila awe mtu mzima mwenzangu .greater or equal to 35! na awe na mvuto sio wote wabaya tunakaa sehemu moja.
majukumu yake
kuwasiliana na mimi mara kwa mara
kutoka out ijumaa jmosi na jpili
kutembeleana
kusaidiana
kufanya mazoezi pamoja ikiwezekana
urafiki huu sio wa kimapenzi . kama unataka mpenzi naweza kukusaidia kutafuta .
awe na sifa zozote isipokuwa
asiwe ameoa ila awe mtu mzima mwenzangu .greater or equal to 35! na awe na mvuto sio wote wabaya tunakaa sehemu moja.
majukumu yake
kuwasiliana na mimi mara kwa mara
kutoka out ijumaa jmosi na jpili
kutembeleana
kusaidiana
kufanya mazoezi pamoja ikiwezekana
urafiki huu sio wa kimapenzi . kama unataka mpenzi naweza kukusaidia kutafuta .
unaona ni sawa kukaa mahali na mume wa mtu?Kama unataka rafiki tu, na hutaki kufanya nae mapenzi kwanini hutaki aliyeoa?? Si rafiki tu..
mi napenda busara za wazeePunguza umri basi
Kumbee eeh...mi napenda busara za wazee
unaona ni sawa kukaa mahali na mume wa mtu?