Natafuta rafiki wa kiume

Status
Not open for further replies.
Subiri wenye sifa zako waje me nimecheka kuona age ya 26_25 ati watoto wakupishe 🤔
 
......daaah basi tena nimepoteza sifa Kwa mara nyingine tenaaa...nilihitaji uwe mpenzi wangu, lakini Sasa kama rafiki tu anawekewa masharti yote hayo kama vile anataka kupokea msaada toka UN Sasa je mimi nitapewa masharti mangapi......ngoja nisubiri atakae kuwa na masharti yenye riba nafuu....
 
Unatafuta mzee wa kukuachia mafao!!!!!wazee nao wameshtukaa[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Watu wanatafuta sponsors😅😅
 
Yes,kila mtu anauhuru wa kuchagua anachopenda,siwezi kutaka rafiki mmbeya au mnafki wakati mm siko ivyo.Fanya chagua knacho kupa fraha
 
Ndio siwataki Sasa,kwani lazima kila siku wapendwe VIJANA tu?
All the best uwazuri ila naomba ukishapata utupatie mrejesho hapahapa kwa ajili ya kupunguza usumbufu na msongamano maana kuna wengine huenda wana sifa lakini wameshelewa kuitikia wito wako au sab
 
Yes,kila mtu anauhuru wa kuchagua anachopenda,siwezi kutaka rafiki mmbeya au mnafki wakati mm siko ivyo.Fanya chagua knacho kupa fraha
......Sasa kama nakupenda na nakuhitaji nifanyeje......kwakweli naomba unilegezee masharti japo kidogo....na sisi wafupi tuna haki ya kupendwa na nyinyi warefu, mtatunyanyapaa hadi lini bana!!??.....
 
Kataa ndoa
ndoa ni wizi
kataa kuchunwa

tafuta pesa kula Bata usimsaidie Mwanamke labda Mama yako tu nenda kaa mbali Fanya kazi kula Bata usimsaidie mtu
 
Panawasha, wachakata mbususu kazi ila mumpime moto kabla ya kumkaza huyu manzi. 😁
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…