Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu bahati mbaya hapa JF mtu mmoja huwezi kumgongea "like" zaidi ya moja ningekupa 10!Sehemu yoyote ambayo ardhi ni mali ya ukoo na hupeana law kurithisha na sehemu yenye makao ya kudumu shambani hapamfai mtu zaidi ya mwenyeji
Akafaidi watoto wa kinyaturuNjoo Singida,hutojuta.
Ifakara patakufaa.Habari zenu wakuu
Sehemu ninayoitafuta iwe na huduma za muhimu karibu kamavile MAJI, HOSPITAL, UMEME NA MTANDAO WA SIMU UWE UNAKAMATA 4G BILA USUMBUFU
Sehemu hiyo isiwe mkoa wa Dar, Kilimanjaro au Arusha!
Karibuni wadau mtiririke
Umeshapata kigori wa kipogoro?Wanadai ukilishwa kichwa cha samaki hurudi kwenu utalowea hukohuko,.Niko Ifakara apa ata sina miezi ila unayosema ni 99.9%%✓✓ ukweli mtupu pako poa sanaa
Kama utashindwa MBEYA basi hakuna sehemu utawezana nayo aisehHabari zenu wakuu
Sehemu ninayoitafuta iwe na huduma za muhimu karibu kamavile MAJI, HOSPITAL, UMEME NA MTANDAO WA SIMU UWE UNAKAMATA 4G BILA USUMBUFU
Sehemu hiyo isiwe mkoa wa Dar, Kilimanjaro au Arusha!
Karibuni wadau mtiririke
😅😅😅 yaani hadi maasai kapavulia kofiaKama utashindwa MBEYA basi hakuna sehemu utawezana nayo aiseh
Nipe fursa za singida boss nitakuja
Singida amna biashara ndogo ndogo mkuu, kilimo ngoja kwanza.
Ingawa wanaleta maskhala huko inasikika kuwa sasa kumekucha.Tanzania hakuna sehemu nzuri na salama zaidi ya Chato
Uko mufindi sehemu gani mkuunjoo mufindi iringa mkuu utahisi uko ulaya maisha ni mazuri kama Japan vijijini wazungu wanapapenda sana
Mkuu Bashnet na Babati Hapo umemaliza kabisa yaani.Sehemu zifatazo naamini sku mmoja utakuja kunipa hata pesa ya bia moja
Chunyu mpwampwa,ilolanguru geita,bashineti babati,mkako,matalawe songea,ipinda kyela,izizimba A&B kwimba,katahoka kagera,ngerengere morogolo,lipumba mbinga,litui masasi,nyambiti magu,
daaah nimechoka kutaja
We mrembo naanza kukuelewa ujueNenda mjimwema,songea.