Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njombe nyumba nzima shilingi ngapi kupanga? hivyo hivyo LushotoLushoto na njombe ni mapacha ingawa njombe barid imezid kidogo ,lakin kilakitu unacho pata njombe basi na lushoto unapata kuanzia aina za vyakula , matunda na mimea mingine yaan kifupi hapana ukame wa chukula ingawa mzunguko wapesa wa lushoto hutegemea sana tanga mjini tofauti na njombe ambayo hata mzunguko wa pesa wa ndani ni mkubwa
Sijawahi kushuhudia ukame mkuu, au kwakuwa Nina miezi mi4 tu HapaUkame wa msimu uliisha hapo? Wasalimie waarabu magala wa hapo
Mitandao yote 4G yake bado haijawa ya kuaminikaWapi
Ifakara ni the best kwa wilaya zenye mbu na joto.Kuna mafuriko ya hatari,but very green, water, fertile land, social people, fish meat rice very Cheap.Very good! Matombo Morogoro, Tukuyu Mbeya, Ifakara(ila kuna joto),
Mwanza inavurugu nyingi( noise pollution), Sema kasahau kigoma, njombe na katavi.list itakuwa imekamilika.Mkuu umeisahau mwanza
Yaaan mimi hapa Dar tu nalalia blanket navyoogopa baridi sembuse huko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] angalau unamshauri mdau. Huko mimi ni kifo moja kwa mojanjoo mufindi iringa mkuu utahisi uko ulaya maisha ni mazuri kama Japan vijijini wazungu wanapapenda sana
Kwa kuishi namna gani? Kwa mfano mstaafu.Ifakara ni the best kwa wilaya zenye mbu na joto.Kuna mafuriko ya hatari,but very green, water, fertile land, social people, fish meat rice very Cheap.
Mwisho kabisa kuoa kule ni nafuu kuliko sehemu yoyote TZ wanawake was kipogoro hawana makuu na ni wacheshi kweli kweli.
Niko Ifakara apa ata sina miezi ila unayosema ni 99.9%%✓✓ ukweli mtupu pako poa sanaaIfakara ni the best kwa wilaya zenye mbu na joto.Kuna mafuriko ya hatari,but very green, water, fertile land, social people, fish meat rice very Cheap.
Mwisho kabisa kuoa kule ni nafuu kuliko sehemu yoyote TZ wanawake was kipogoro hawana makuu na ni wacheshi kweli kweli.
Mbeya,Mwanza,Iringa,Songwe/vwawa,au Kigoma mjini,Bukoba mjini,Nyamkazi beach,Mtwara,Masasi,Kiteto Manyara.Habari zenu wakuu
Sehemu ninayoitafuta iwe na huduma za muhimu karibu kamavile MAJI, HOSPITAL, UMEME NA MTANDAO WA SIMU UWE UNAKAMATA 4G BILA USUMBUFU
Sehemu hiyo isiwe mkoa wa Dar, Kilimanjaro au Arusha!
Karibuni wadau mtiririke
Bure au??Habari zenu wakuu
Sehemu ninayoitafuta iwe na huduma za muhimu karibu kamavile MAJI, HOSPITAL, UMEME NA MTANDAO WA SIMU UWE UNAKAMATA 4G BILA USUMBUFU
Sehemu hiyo isiwe mkoa wa Dar, Kilimanjaro au Arusha!
Karibuni wadau mtiririke
Kaishi mpwapwa sehemu inaitwa Rudi au kibakwe mkuu.Habari zenu wakuu
Sehemu ninayoitafuta iwe na huduma za muhimu karibu kamavile MAJI, HOSPITAL, UMEME NA MTANDAO WA SIMU UWE UNAKAMATA 4G BILA USUMBUFU
Sehemu hiyo isiwe mkoa wa Dar, Kilimanjaro au Arusha!
Karibuni wadau mtiririke
Kumbe siku hizi Pompeo amejifunza kiswahili, nenda Njombe ni pazuri sanaHabari zenu wakuu
Sehemu ninayoitafuta iwe na huduma za muhimu karibu kamavile MAJI, HOSPITAL, UMEME NA MTANDAO WA SIMU UWE UNAKAMATA 4G BILA USUMBUFU
Sehemu hiyo isiwe mkoa wa Dar, Kilimanjaro au Arusha!
Karibuni wadau mtiririke