Natafuta sehemu nzuri ya kuishi ndani ya Tanzania

Natafuta sehemu nzuri ya kuishi ndani ya Tanzania

Habari zenu wakuu

Sehemu ninayoitafuta iwe na huduma za muhimu karibu kamavile MAJI, HOSPITAL, UMEME NA MTANDAO WA SIMU UWE UNAKAMATA 4G BILA USUMBUFU

Sehemu hiyo isiwe mkoa wa Dar, Kilimanjaro au Arusha!

Karibuni wadau mtiririke
Nakutajia miko ambayo huwezi shindwa ishi hata kama huna hela
1.mbeya
2.iringa
3.morogoro
4.ruvuma
5.njombe
6.rukwa
Mkuu umeisahau mwanza
Mwanza hapana kuna ukame pamoja na kwamba mpunga upo lakini sehemu kubwa ya mkoa wa mwanza ni kame ndio maaana asilimia kubwa wasukuma wamekuwa wahamiaji mkoa wa morogoro.
 
Nakutajia miko ambayo huwezi shindwa ishi hata kama huna hela
1.mbeya
2.iringa
3.morogoro
4.ruvuma
5.njombe
6.rukwa

Mwanza hapana kuna ukame pamoja na kwamba mpunga upo lakini sehemu kubwa ya mkoa wa mwanza ni kame ndio maaana asilimia kubwa wasukuma wamekuwa wahamiaji mkoa wa morogoro.
Mkuu dar sio pakame mkuu.... Mbona watu wamejazanaaa
 
Nakutajia miko ambayo huwezi shindwa ishi hata kama huna hela
1.mbeya wilaya zote nzuri
2.iringa wilaya zote nzuri
3.morogoro baadhi ya wilaya hasa kilombero , kilosa, mvomero
4.ruvuma, wilaya zote
5.njombe wilaya zote
6.rukwa wilaya zote

Kwanini mikoa hiyo
Ni mikoa ambayo ardhi ina rutuba na chakula cha kutosha na mzunguko wake wa fedha sio wa msimu ni wakati wote.
1. Hata Ileje?
2. Hata Kilolo?
3. Hata Mahenge?
4. Hata Namtumbo?
5. Hata Waging'ombe?
6. Hata Tanganyika?
 
Bukoba na mitaa yake ndo sehemu pow Sana ya kuishi Tanzania.

Kwanza maisha ni cheap . Ushawahi ona bodaboda za jero? Sato zinauzwa 1000 chips yai mayai ya kienyeji? Yaani vitu ni cheap kupindukia.
Hali ya hewa na mvua za hapa na pale zinapafanya pawe kijani muda wote yaan sio baridi wala joto.

Bado huduma za kijamii kama Safi na chemichemi kibao
Mji Una beach zote sand ( Miami na kabuhara na kiroyera) pebble ( eco beach) na stone( bunena beach)

Bado gharama za kupanga ziko chini mno.

Bila kusahau watoto wenye mizuka wa kihaya

Baadhi ya mitaa ya bukobaView attachment 1666748View attachment 1666750View attachment 1666751View attachment 1666752View attachment 1666753View attachment 1666754View attachment 1666755View attachment 1666756View attachment 1666757
Nyumba nzima nzuri kupanga shilingi ngapi?
 
Bukoba na mitaa yake ndo sehemu pow Sana ya kuishi Tanzania.

Kwanza maisha ni cheap . Ushawahi ona bodaboda za jero? Sato zinauzwa 1000 chips yai mayai ya kienyeji? Yaani vitu ni cheap kupindukia.
Hali ya hewa na mvua za hapa na pale zinapafanya pawe kijani muda wote yaan sio baridi wala joto.

Bado huduma za kijamii kama Safi na chemichemi kibao
Mji Una beach zote sand ( Miami na kabuhara na kiroyera) pebble ( eco beach) na stone( bunena beach)

Bado gharama za kupanga ziko chini mno.

Bila kusahau watoto wenye mizuka wa kihaya

Baadhi ya mitaa ya bukobaView attachment 1666748View attachment 1666750View attachment 1666751View attachment 1666752View attachment 1666753View attachment 1666754View attachment 1666755View attachment 1666756View attachment 1666757
Sehemu yoyote ambayo ardhi ni mali ya ukoo na hupeana law kurithisha na sehemu yenye makao ya kudumu shambani hapamfai mtu zaidi ya mwenyeji
 
Huko panatajwa sana
Lushoto na njombe ni mapacha ingawa njombe barid imezid kidogo ,lakin kilakitu unacho pata njombe basi na lushoto unapata kuanzia aina za vyakula , matunda na mimea mingine yaan kifupi hapana ukame wa chukula ingawa mzunguko wapesa wa lushoto hutegemea sana tanga mjini tofauti na njombe ambayo hata mzunguko wa pesa wa ndani ni mkubwa
 
Sehemu yoyote ambayo ardhi ni mali ya ukoo na hupeana law kurithisha na sehemu yenye makao ya kudumu shambani hapamfai mtu zaidi ya mwenyeji
Wee unaongelea bukoba vijijini huko,muleba,misenyi na karagwe kwenye vijiji.huko hata sikishauri.


Bukoba mbona KUna viwanja kibao. Nenda manispaa utafute kiwanja hutakosa kamwe. Mbona kumejaa wasukuma waha na wakurya kibao bukoba?
Lakin hata pembeni ya miji kama bukoba kuna viwanja zaidi ya 5000 vimepimwa 2012 vinasubiri wateja.


Mbona kuna mashamba kibao ya miti ya watu kutoka mikoani?
 
Habari zenu wakuu

Sehemu ninayoitafuta iwe na huduma za muhimu karibu kamavile MAJI, HOSPITAL, UMEME NA MTANDAO WA SIMU UWE UNAKAMATA 4G BILA USUMBUFU

Sehemu hiyo isiwe mkoa wa Dar, Kilimanjaro au Arusha!

Karibuni wadau mtiririke
Nenda Ndala kule Tabora.
 
Bukoba na mitaa yake ndo sehemu pow Sana ya kuishi Tanzania.

Kwanza maisha ni cheap . Ushawahi ona bodaboda za jero? Sato zinauzwa 1000 chips yai mayai ya kienyeji? Yaani vitu ni cheap kupindukia.
Hali ya hewa na mvua za hapa na pale zinapafanya pawe kijani muda wote yaan sio baridi wala joto.

Bado huduma za kijamii kama Safi na chemichemi kibao
Mji Una beach zote sand ( Miami na kabuhara na kiroyera) pebble ( eco beach) na stone( bunena beach)

Bado gharama za kupanga ziko chini mno.

Bila kusahau watoto wenye mizuka wa kihaya

Baadhi ya mitaa ya bukobaView attachment 1666748View attachment 1666750View attachment 1666751View attachment 1666752View attachment 1666753View attachment 1666754View attachment 1666755View attachment 1666756View attachment 1666757
Ntarudi tena bukoba miaka mi3 ilitosha sana kuenjoy maisha na kuijua bkb.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom