Mkomavu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2016
- 11,769
- 16,799
Ndiyo umeolewa mlandizi wewe kenge??Nenda Mlandizi, ipo siku utakuja kunishukuru hapa
Sent from my Infinix X622 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo umeolewa mlandizi wewe kenge??Nenda Mlandizi, ipo siku utakuja kunishukuru hapa
Sent from my Infinix X622 using JamiiForums mobile app
Nakutajia miko ambayo huwezi shindwa ishi hata kama huna helaHabari zenu wakuu
Sehemu ninayoitafuta iwe na huduma za muhimu karibu kamavile MAJI, HOSPITAL, UMEME NA MTANDAO WA SIMU UWE UNAKAMATA 4G BILA USUMBUFU
Sehemu hiyo isiwe mkoa wa Dar, Kilimanjaro au Arusha!
Karibuni wadau mtiririke
Mwanza hapana kuna ukame pamoja na kwamba mpunga upo lakini sehemu kubwa ya mkoa wa mwanza ni kame ndio maaana asilimia kubwa wasukuma wamekuwa wahamiaji mkoa wa morogoro.Mkuu umeisahau mwanza
Wapi kati kati ya nusu kipenyo chako?
Mkuu dar sio pakame mkuu.... Mbona watu wamejazanaaaNakutajia miko ambayo huwezi shindwa ishi hata kama huna hela
1.mbeya
2.iringa
3.morogoro
4.ruvuma
5.njombe
6.rukwa
Mwanza hapana kuna ukame pamoja na kwamba mpunga upo lakini sehemu kubwa ya mkoa wa mwanza ni kame ndio maaana asilimia kubwa wasukuma wamekuwa wahamiaji mkoa wa morogoro.
1. Hata Ileje?Nakutajia miko ambayo huwezi shindwa ishi hata kama huna hela
1.mbeya wilaya zote nzuri
2.iringa wilaya zote nzuri
3.morogoro baadhi ya wilaya hasa kilombero , kilosa, mvomero
4.ruvuma, wilaya zote
5.njombe wilaya zote
6.rukwa wilaya zote
Kwanini mikoa hiyo
Ni mikoa ambayo ardhi ina rutuba na chakula cha kutosha na mzunguko wake wa fedha sio wa msimu ni wakati wote.
Nyumba nzima nzuri kupanga shilingi ngapi?Bukoba na mitaa yake ndo sehemu pow Sana ya kuishi Tanzania.
Kwanza maisha ni cheap . Ushawahi ona bodaboda za jero? Sato zinauzwa 1000 chips yai mayai ya kienyeji? Yaani vitu ni cheap kupindukia.
Hali ya hewa na mvua za hapa na pale zinapafanya pawe kijani muda wote yaan sio baridi wala joto.
Bado huduma za kijamii kama Safi na chemichemi kibao
Mji Una beach zote sand ( Miami na kabuhara na kiroyera) pebble ( eco beach) na stone( bunena beach)
Bado gharama za kupanga ziko chini mno.
Bila kusahau watoto wenye mizuka wa kihaya
Baadhi ya mitaa ya bukobaView attachment 1666748View attachment 1666750View attachment 1666751View attachment 1666752View attachment 1666753View attachment 1666754View attachment 1666755View attachment 1666756View attachment 1666757
Sehemu yoyote ambayo ardhi ni mali ya ukoo na hupeana law kurithisha na sehemu yenye makao ya kudumu shambani hapamfai mtu zaidi ya mwenyejiBukoba na mitaa yake ndo sehemu pow Sana ya kuishi Tanzania.
Kwanza maisha ni cheap . Ushawahi ona bodaboda za jero? Sato zinauzwa 1000 chips yai mayai ya kienyeji? Yaani vitu ni cheap kupindukia.
Hali ya hewa na mvua za hapa na pale zinapafanya pawe kijani muda wote yaan sio baridi wala joto.
Bado huduma za kijamii kama Safi na chemichemi kibao
Mji Una beach zote sand ( Miami na kabuhara na kiroyera) pebble ( eco beach) na stone( bunena beach)
Bado gharama za kupanga ziko chini mno.
Bila kusahau watoto wenye mizuka wa kihaya
Baadhi ya mitaa ya bukobaView attachment 1666748View attachment 1666750View attachment 1666751View attachment 1666752View attachment 1666753View attachment 1666754View attachment 1666755View attachment 1666756View attachment 1666757
Naunga mkono hojanjoo mufindi iringa mkuu utahisi uko ulaya maisha ni mazuri kama Japan vijijini wazungu wanapapenda sana
Ndio nini au ndio nani? [emoji23][emoji23][emoji23]Genta ndio nini
Elfu 80 mpaka laki 2Nyumba nzima nzuri kupanga shilingi ngapi?
Lushoto na njombe ni mapacha ingawa njombe barid imezid kidogo ,lakin kilakitu unacho pata njombe basi na lushoto unapata kuanzia aina za vyakula , matunda na mimea mingine yaan kifupi hapana ukame wa chukula ingawa mzunguko wapesa wa lushoto hutegemea sana tanga mjini tofauti na njombe ambayo hata mzunguko wa pesa wa ndani ni mkubwaHuko panatajwa sana
Wee unaongelea bukoba vijijini huko,muleba,misenyi na karagwe kwenye vijiji.huko hata sikishauri.Sehemu yoyote ambayo ardhi ni mali ya ukoo na hupeana law kurithisha na sehemu yenye makao ya kudumu shambani hapamfai mtu zaidi ya mwenyeji
Nenda Ndala kule Tabora.Habari zenu wakuu
Sehemu ninayoitafuta iwe na huduma za muhimu karibu kamavile MAJI, HOSPITAL, UMEME NA MTANDAO WA SIMU UWE UNAKAMATA 4G BILA USUMBUFU
Sehemu hiyo isiwe mkoa wa Dar, Kilimanjaro au Arusha!
Karibuni wadau mtiririke
Ukame wa msimu uliisha hapo? Wasalimie waarabu magala wa hapoMkuu karibu hapa Didia_lohumbo_Shinyanga Pako mwake Sana
Ntarudi tena bukoba miaka mi3 ilitosha sana kuenjoy maisha na kuijua bkb.Bukoba na mitaa yake ndo sehemu pow Sana ya kuishi Tanzania.
Kwanza maisha ni cheap . Ushawahi ona bodaboda za jero? Sato zinauzwa 1000 chips yai mayai ya kienyeji? Yaani vitu ni cheap kupindukia.
Hali ya hewa na mvua za hapa na pale zinapafanya pawe kijani muda wote yaan sio baridi wala joto.
Bado huduma za kijamii kama Safi na chemichemi kibao
Mji Una beach zote sand ( Miami na kabuhara na kiroyera) pebble ( eco beach) na stone( bunena beach)
Bado gharama za kupanga ziko chini mno.
Bila kusahau watoto wenye mizuka wa kihaya
Baadhi ya mitaa ya bukobaView attachment 1666748View attachment 1666750View attachment 1666751View attachment 1666752View attachment 1666753View attachment 1666754View attachment 1666755View attachment 1666756View attachment 1666757
Nasikia kakonko watu wanatembea na sumu mifukoni..mkizinguana anakutulia kwenye chakula ukafie mbele...wenyeji wanapaita Poison City.Kasulu, Buhigwe, Kakonko
[emoji1787][emoji1787]Nasikia kakonko watu wanatembea na sumu mifukoni..mkizinguana anakutulia kwenye chakula ukafie mbele...wenyeji wanapaita Poison City.
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app