Miss_Mariaah
JF-Expert Member
- Nov 9, 2022
- 2,176
- 4,979
- Thread starter
- #41
Bajeti Haina Shida nataka tu hizo sifa nlizotaja hapo juuTupe bajeti yako, na unapendelea ukae kwa muda gani, ili tuweze kukupa ushauri vizuri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bajeti Haina Shida nataka tu hizo sifa nlizotaja hapo juuTupe bajeti yako, na unapendelea ukae kwa muda gani, ili tuweze kukupa ushauri vizuri.
Nikae week hiviTupe bajeti yako, na unapendelea ukae kwa muda gani, ili tuweze kukupa ushauri vizuri.
Hii sehemu iko wapi
Twende tukakae mwezi mzima ngorongoro, tuchangishane 50/50 😀Nikae week hivi
Muheza pale pale barabarani kuna bango limeandikwa 'East Usambara Biosphere Reserve' au kitu kama hicho. Niliwahi kufika na kulala pale ni sehemu safi sana.Bilashaka Ni lushoto hii ee
Anhaaa SawaMuheza pale pale barabarani kuna bango limeandikwa 'East Usambara Biosphere Reserve' au kitu kama hicho. Niliwahi kufika na kulala pale ni sehemu safi sana.
50 50 kwenye pesa hakunaga Janani😅😅😅😅😅Twende tukakae mwezi mzima ngorongoro, tuchangishane 50/50 😀
Hotel uongo ila lodge zipo nzuri sana tena cheap.mie jamani nataka hotel nzuri maeneo ya goba ambayo in breakfast na wifi budget 50k plz
Gwata camp iko wap mkuu iliweze kufaamuMe picha sikuwekei kwa sababu naamini unaweza ku google but Gwata camp is a very nice place yenye description zote ulizoweka hapo.
Ngorongoro Crater. Overnight Ngorongoro wildlife lodge Member of MeliaHabari za muda ndugu zangu,
Mimi ni mpenzi wa nature naombeni mnitajie sehemu nzuri zenye nature kama milima, bustani za maua, miti, camps, beach ambapo zinafaa Kwa honeymoon, vacation zenye hadhi nzuri mandhari nzuri huduma nzuri Na malazi mazuriii ..naombenii mkitaja eneo msindikize Na picha.
Ahsanteni
Ukipata tutaenda, au uko na ubavu....Nikae week hivi
MorogoroGwata camp iko wap mkuu iliweze kufaamu
Twende woteKama unapenda canoeing 🛶
Nenda ya Lake Duluti.
Niko pair😌Ukipata tutaenda, au uko na ubavu....
AhsanteNgorongoro Crater.
Kumbe ni Moro sehem ganiMorogoro
Pazuri, patulivu ila bei sikumbukiAliyewai kufika sadani bagamoyo reserve iv mazingila yake yakoje na cost za kulala na vyakula vyake nataka nikipata time nikafanye utalii wa ndani pale nikiwa free
Gibbs Farm Karatu. Ila ilikuwa years ago nadhani ulikuwa hujazaliwa. Sijui kama bado ipo. Ila palikuwa wonderful!!!Habari za muda ndugu zangu,
Mimi ni mpenzi wa nature naombeni mnitajie sehemu nzuri zenye nature kama milima, bustani za maua, miti, camps, beach ambapo zinafaa Kwa honeymoon, vacation zenye hadhi nzuri mandhari nzuri huduma nzuri Na malazi mazuriii ..naombenii mkitaja eneo msindikize Na picha.
Ahsanteni
Nilikwambia uka google dada, ni karibu na ubena zomozi kama ushawahi kupaskia.Kumbe ni Moro sehem gani