Natafuta sehemu yenye free WiFi Dar es Salaam, nayoweza kufanya online meeting

Natafuta sehemu yenye free WiFi Dar es Salaam, nayoweza kufanya online meeting

Tulia jiunge bando kaa chumbani kwako ..........usijekusumbua watu na iko kiraputop chako kipya .................vijana wa intern punguzeni mbwe mbwe ndio maana mnashindwa kuajiliwa kwa ajili ya sifa .........much know
 
Mostly public WiFi is not safe.
Kwanini usinunue data ukatulia kwako?
Au unaishi Manzese au kwa Mtogole nk kwenye kelele nyingi?
Mkuu naishi uswahilini, siunajua tunajitafuta bado hatujajipata. Ndio tunalisaka tobo kama hivi tunapata invitations. Hizi nyumba zetu jirani anaweza fungulia singeli mpaka mwisho na hataki mtu amueleze lolote.
 
Tulia jiunge bando kaa chumbani kwako ..........usijekusumbua watu na iko kiraputop chako kipya .................vijana wa intern punguzeni mbwe mbwe ndio maana mnashindwa kuajiliwa kwa ajili ya sifa .........much know
Sio mbwembwe wala u-much know kama unavyochukulia tunajitafuta. dont be someone who judges others without understanding their situation. Stop that habit, its not good.
 
Sio mbwembwe wala u-much know kama unavyochukulia tunajitafuta. dont be someone who judges others without understanding their situation. Stop that habit, its not good.
Yote sawa........lakini ndio umeshindwa hata kukaa kwenye sebule ya baba yako kwenu ufanye mambo yako personal??
 
Back
Top Bottom