Natafuta sehemu yenye free WiFi Dar es Salaam, nayoweza kufanya online meeting

Natafuta sehemu yenye free WiFi Dar es Salaam, nayoweza kufanya online meeting

Hivi Tanzania maisha yamekuwa magumu kiasi hiki? Kwa mkutano muhimu kweli unashindwa kununua bando la kukuwezesha kumaliza mkutano?
 
Mimi naishi ghetto, baba yangu yupo mkoani.
Sawa braza najua lengo lako siyo baya ila sasa presentation yako ndio imereta mjadala..........kusema unatafuta venue..........pesa unayo?? Maana venue zipo nyingi tu .........nakumbuka wakati niko bongo hata pale southern sun pia pazuri.......ila pesa uwe nayo
 
Natafuta space ambayo kuna utulivu na kuna unlimited internet Dar es Salaam. Iwe coworkspace ya kulipia au naweza kukaa kama mteja wa vinywaji lakini nitaenda na laptop yangu kwa ajili ya kufanya online meeting.

Naomba suggestions.
Wifi zipo kibao kwenye mahotel, ila huwezi kutrust Public wifi kufanya kitu serious kama video meeting, unless ni marafiki tu.

Mara Mia unga bando lako mwenyewe
 
Pole sana.
Kama ni online meeting jaribu kuangalia sehemu tulivu, isiyokuwa na heka heka.

Kama alivyosuggest mdau hapo juu waweza sogea restaurants/hotels zenye access ya wi-fi ili upate hitaji lako.
 
Tulia jiunge bando kaa chumbani kwako ..........usijekusumbua watu na iko kiraputop chako kipya .................vijana wa intern punguzeni mbwe mbwe ndio maana mnashindwa kuajiliwa kwa ajili ya sifa .........much know

Ungekua huna mchango ungekaa kimya tu. Hayo mengine nahisi hayajamsaidia.
 
Ukiwa na shida ya msingi then ukaja kutafuta majibu huku jamii forum lazima ujiandae kisaikojia kwa ajili ya wapiga Spana aiseee 😂.

Yaani kama watu Wana nyongo ila hawana pa kuitema ... Wakipata uzii wanatemaaa Sanaa!

Mkuu Mungu akusaidie ufanikishe jambo lako! Mimi nipo ikwiriri huku hata dar sipajui
 
Mnapenda vitu vya bure, mkishikishwa ukuta msilalamike vijana... Halafu Trump amesitisha misaada ya vilainishi condoms na arv... Shauri yenu
 
Public WIFI sio realiable kijana wangu, kwanza ziko slow sana, Kwahiyo meeting utakuwa unabreak mara nyingi kiasi watakuona hauko serious.

Kama tatizo ni kelele mahali unapoishi, nenda hoteli yenye lounge/restaurant iliyotulia unga bando lako ingia meeting. Hoteli zote kubwa kubwa zina restaurant zilizotulia.

Au coffee shops, japo kunakuaga na kelele kiasi.

Kila la heri.
 
Wifi zipo kibao kwenye mahotel, ila huwezi kutrust Public wifi kufanya kitu serious kama video meeting, unless ni marafiki tu.

Mara Mia unga bando lako mwenyewe
Ni official meeting, nafanya presentation ya proposal yangu. Ishu ni bando la kukaa online muda mrefu na mazingira yangu nayoishi sio rafiki sana kugarantii kikao. Anyway ngoja nione kama nitapata sehemu ya uhakika ikishindikana nione plan B.
 
Public WIFI sio realiable kijana wangu, kwanza ziko slow sana, Kwahiyo meeting utakuwa unabreak mara nyingi kiasi watakuona hauko serious.

Kama tatizo ni kelele mahali unapoishi, nenda hoteli yenye lounge/restaurant iliyotulia unga bando lako ingia meeting. Hoteli zote kubwa kubwa zina restaurant zilizotulia.

Au coffee shops, japo kunakuaga na kelele kiasi.

Kila la heri.
Asante nimekuelewa.
 
Ukiwa na shida ya msingi then ukaja kutafuta majibu huku jamii forum lazima ujiandae kisaikojia kwa ajili ya wapiga Spana aiseee 😂.

Yaani kama watu Wana nyongo ila hawana pa kuitema ... Wakipata uzii wanatemaaa Sanaa!

Mkuu Mungu akusaidie ufanikishe jambo lako! Mimi nipo ikwiriri huku hata dar sipajui
Ndio hivyo inabidi kukubali mkuu, dunia ina watu wema na watu wabaya ni lazima ukutane nao iwe online au offline.
 
Tulia jiunge bando kaa chumbani kwako ..........usijekusumbua watu na iko kiraputop chako kipya .................vijana wa intern punguzeni mbwe mbwe ndio maana mnashindwa kuajiliwa kwa ajili ya sifa .........much know
Tatizo anaichukulia hii ishu ki-uzito sana, wakati ni kitu cha kawaida sana. Inawezekana labda kwa sababu ni mara ya kwanza, mbwembwe zinakuwa nyingi.
 
Tatizo anaichukulia hii ishu ki-uzito sana, wakati ni kitu cha kawaida sana. Inawezekana labda kwa sababu ni mara ya kwanza, mbwembwe zinakuwa nyingi.
You are correct! I am the type who goes all in on anything that adds value to my life. I dont do disappointments and I’m not about regrets.
 
Back
Top Bottom