Natafuta sehemu yenye free WiFi Dar es Salaam, nayoweza kufanya online meeting

Natafuta sehemu yenye free WiFi Dar es Salaam, nayoweza kufanya online meeting

Natafuta space ambayo kuna utulivu na kuna unlimited internet Dar es Salaam. Iwe coworkspace ya kulipia au naweza kukaa kama mteja wa vinywaji lakini nitaenda na laptop yangu kwa ajili ya kufanya online meeting.

Naomba suggestions.
Acha utegemezi kanunue kifurushi
 
Ila kwa meetings haifai si wahitaji kuwa kwenye utulivu maana hizi za nje pilika pilika nyingi
 
Kama bado haujapata sehemu au kikao bado, fika American Corner ipo ndani ya Makumbusho ya Taifa, Posta, mkabala na Taasisi cha Usimamizi wa Fedha (IFM).

Utapata unachotaka bure. Utapewa vocha za Wi-fi na kuna sehemu tulivu utatumia kufanya mkutano wako.

MUDA
09:00-15:00
Jumatatu- Ijumaa.
 
Kama bado haujapata sehemu au kikao bado, fika American Corner ipo ndani ya Makumbusho ya Taifa, Posta, mkabala na Taasisi cha Usimamizi wa Fedha (IFM).

Utapata unachotaka bure. Utapewa vocha za Wi-fi na kuna sehemu tulivu utatumia kufanya mkutano wako.

MUDA
09:00-15:00
Jumatatu- Ijumaa.
Bro, hii ni kwa mtu yoyote au kuna vigezo vya kupata hii service? It sounds very good 😊
 
Bro, hii ni kwa mtu yoyote au kuna vigezo vya kupata hii service? It sounds very good 😊
Kwa mtu yeyote mkuu. Kuna ofa nyingi pale na wamewekewa watanzania.

Tembelea mahali hapo kaka.
Kuna kompyuta pia, kama hauna na unataka kufanya kazi zako zipo pale pia.
 
Tulia jiunge bando kaa chumbani kwako ..........usijekusumbua watu na iko kiraputop chako kipya .................vijana wa intern punguzeni mbwe mbwe ndio maana mnashindwa kuajiliwa kwa ajili ya sifa .........much know
Chumbani sio pa kufanyia kazi Mzee. Ndio maana ya co-working space ama working hubs zikawepo.
Zinakuwa ni mahali tulivu, high speed internet kwa ajili ya online working na hata meetings.
 
Chumbani sio pa kufanyia kazi Mzee. Ndio maana ya co-working space ama working hubs zikawepo.
Zinakuwa ni mahali tulivu, high speed internet kwa ajili ya online working na hata meetings.
Ni heri wewe umesema, wengine wakiona mtu sehemu kama hizo wanaona unajidai
 
Natafuta space ambayo kuna utulivu na kuna unlimited internet Dar es Salaam. Iwe coworkspace ya kulipia au naweza kukaa kama mteja wa vinywaji lakini nitaenda na laptop yangu kwa ajili ya kufanya online meeting.

Naomba suggestions.

Fibre internet Dar es salaam ni bei rahisi sana kwa mwezi unlimited, pull up your sox
 
Kikao gani utakaa hotel wanakouza na kununua mzee? Unataka kuopata shida bure ya kuzungumza na unaozungumza, mara huyu mara yule aombe maji
 
Back
Top Bottom