Natafuta shamba la kununua Shinyanga, Singida, Dodoma, Iringa, Tabora, Morogoro

Natafuta shamba la kununua Shinyanga, Singida, Dodoma, Iringa, Tabora, Morogoro

Mahorii

Member
Joined
Jan 26, 2014
Posts
96
Reaction score
110
Habari wakuu,

Natafuta shamba kubwa ambalo limeshawai kulimwa au tambarare ambalo litakuwa rahisi kulimwa kwa mikoa niliyo orodhesha hapo juu.
Siitaji shamba ambalo lina miti maana kuondoa miti ni gharama sana.

Natafuta kwanzia heka 100 kwenda juu.

Asante.
 
Back
Top Bottom