Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Abuu mkuranga sehemu gani? Ukitoka Dar yapo kabla ya mji/halmashauri au baada ya mji/halmashauri?Mkoa wa pwani sehemu gani mimi ninayo mashamba mkuranga km1 kutoka barabara kuu ya lami eneo zuri kwa ufugaji maji mengi bei 2m kwa eka zipo eka zaidi ya 60 wewe tu
Abuu mkuranga sehemu gani? Ukitoka Dar yapo kabla ya mji/halmashauri au baada ya mji/halmashauri?
Utapata ila mbwinde sanaHabari wadau wa ufugaji. Natafuta shamba liwe karibu na barabara za mitaa kiasi nilichonacho ni laki na nusu kwa kila heka. Nahitaji heka kumi. pia lisiwe Na migogoro yeyote.
Ukitaka shamba zuri andaa 2m kwa ekaUtapata ila mbwinde sana
ameshaweka bei yake ni laki na nusuMkoa wa pwani sehemu gani mimi ninayo mashamba mkuranga km1 kutoka barabara kuu ya lami eneo zuri kwa ufugaji maji mengi bei 2m kwa eka zipo eka zaidi ya 60 wewe tu
Lakini pia ukitaka bei hiyo njoo nikuuzie mkata, unaingina kijiji cha mazingara kama unaenda handeni kutokea dar. Utalima utafuga etc bei eka moja ni 150,000 ,ipo eka 70. Karibu
ameshaweka bei yake ni laki na nusu
Umbali gani kutokea ile lami
mimi siyo dalali,... kama ningekuwa dalali ningemtafutia shamba lisilozidi shilingi za kitanzania 80,000/= kwa mkoa wa pwani na haizidi kilomita 5 kutoka kwenye barabara kuuu. tatizo mnawachukulia watu kama wametoka kidimbwi vile. hayo mashamba ya handeni umeshauzaaa?Mpe sasa shamba la bei hiyo
mimi siyo dalali,... kama ningekuwa dalali ningemtafutia shamba lisilozidi shilingi za kitanzania 80,000/= kwa mkoa wa pwani na haizidi kilomita 5 kutoka kwenye barabara kuuu. tatizo mnawachukulia watu kama wametoka kidimbwi vile. hayo mashamba ya handeni umeshauzaaa?
Kuna vyanzo/chanzo cha maji kwenye hayo mashamba?Wastani km 10-15 ila barabara ya gari hadi shamba mwaka mzima
Kuna vyanzo/chanzo cha maji kwenye hayo mashamba?
Karibu kiasi gani mkuu? Je ni ukaribu ambao unawezesha kuvuta maji kwa kutumia pump kutoka mtoni?Ndio kuna mto unapita karibu na shamba
Mkuu naomba namba yakoWastani km 10-15 ila barabara ya gari hadi shamba mwaka mzima
Lakini pia ukitaka bei hiyo njoo nikuuzie mkata, unaingina kijiji cha mazingara kama unaenda handeni kutokea dar. Utalima utafuga etc bei eka moja ni 150,000 ,ipo eka 70. Karibu
Salama nduguLakini pia ukitaka bei hiyo njoo nikuuzie mkata, unaingina kijiji cha mazingara kama unaenda handeni kutokea dar. Utalima utafuga etc bei eka moja ni 150,000 ,ipo eka 70. Karibu
Salama mkuuSalama ndugu