Natafuta system ya mziki mixer, spiker nk

Natafuta system ya mziki mixer, spiker nk

napenda

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2015
Posts
485
Reaction score
90
mwenye kujua bei ya vifaa vya mziki, mixer ya njia tatu, spiker,amplyfire, na nyaya zake nataka nianze biashara ya disco na matangazo. pia kama kuna zaidi ya vifaa nilivyo orodhesha anisaidie
 
Hakuna mtaalam wa mambo haya?
 
mwenye kujua bei ya vifaa vya mziki, mixer ya njia tatu, spiker,amplyfire, na nyaya zake nataka nianze biashara ya disco na matangazo. pia kama kuna zaidi ya vifaa nilivyo orodhesha anisaidie

Ongeza mic, chagua wireless mic, je huo mzik ni wa aina gan wa ngaz? Wenye full setup kama dek mbil mixer na majiko mawil yale kama ya dj?
 
Ongeza mic, chagua wireless mic, je huo mzik ni wa aina gan wa ngaz? Wenye full setup kama dek mbil mixer na majiko mawil yale kama ya dj?

Nataka uwe na dek tatu, mixer jia tatu,spika nne base 2 na mid 2. uwe mziki wa kiwango, kwa ajiri ya disco, harusi,mikutano na matangazo. hapa nataka bei anae jua tafadhari anijuze.
 
Nataka uwe na dek tatu, mixer jia tatu,spika nne base 2 na mid 2. uwe mziki wa kiwango, kwa ajiri ya disco, harusi,mikutano na matangazo. hapa nataka bei anae jua tafadhari anijuze.

Niliulizia pale kariakoo mzik ule ukiwa complity mil 10 ila maongez yapo
 
Dah! kumbe kazi ipo mi nilizani itacheza kati ya 3M hadi 4M.

kwa hiyo m4 unapata speker Tu, tena fedek Na waka sio cand au opra, jbl ndio kabisaa hugusi. Bass nzuri kwa sasa Ni opra, inauzwa ml 1.1 doble inasoma 2.2mill ,hiyo ya single Ni 1000 watts rms,peak Ni 2000w pmpo. Bass fidek yai singe ni laki 8.5 ina 800wts rms, double ni 1.6 mln, mid fidec ni laki 8 800wts rms,Mid nzuri Ni candy inauzwa laki 950 mpaka 1 mln . Ni nzuri sababu zina tweeter kubwa Na Ni imara,haziunguzi crossover au coil ya tweeter ivyo, Ni nzuri kwa mziki wa nje Na ndani. Booster fidek p7000 inakutosha bei Ni Kati ya 1.5 Na p 5000 Ni 1.3 milion. Crossover candy Ni laki 2.5 au 3,equlizer Ni Kati yalaki 3 mpaka saba kulingaba Na sina,ila dbx 2channel inakutosha kwa laki 3.5
 
Speaker ambazo mimi naona ni nzuri ni zile aina ya Candy, achana na fidek maana hata bei Candy zipo vizuri. Candy speaker za kawaida ikiwa Double ni 900,000, Bass zikiwa Double ni 1,000,000. Mic mbili za wireless andaa 200,000 ukiongeza na zingine jumla uandae kama 500,000 upande wa mic.
Shusha Mixer ya Laki 7 mpaka Laki 8. Nunua Booster ya 1,000,000 maana bila Booster kwa mziki huu unaweza ukashangaa unapeleka au unakaanga Mixer kila siku.
Mkuu, pia usisahau Generator pamoja na Laptop ya kupigia mziki, itapendeza kama ukinunua na External Hard Disk yenye ITB au 2TB.
Kila la Heri Mkuu!!!
 
Speaker ambazo mimi naona ni nzuri ni zile aina ya Candy, achana na fidek maana hata bei Candy zipo vizuri. Candy speaker za kawaida ikiwa Double ni 900,000, Bass zikiwa Double ni 1,000,000. Mic mbili za wireless andaa 200,000 ukiongeza na zingine jumla uandae kama 500,000 upande wa mic.
Shusha Mixer ya Laki 7 mpaka Laki 8. Nunua Booster ya 1,000,000 maana bila Booster kwa mziki huu unaweza ukashangaa unapeleka au unakaanga Mixer kila siku.
Kila la Heri Mkuu!!!

mkuu candy kwenye bass sio nzuri,amezudiwa hata Na fidec bass, Na huwez kupata bass ya double ya candy kwa 1 mln,hata ya kuchonga hupati. Na asipokuwa makini wanamchakachua maana kko wanafungua original spkr wanakufungia fekero
 
ndugu vifaa vya muziki ni expensive 3 -4 Mil haitoshi kwa kweli

Jamani mi natafuta sound processor, nikipata aina ya Inovonics itakuwa poa

nenda pale city sound kk utapata ukikosa nenda Morgan sounds
 
mkuu candy kwenye bass sio nzuri,amezudiwa hata Na fidec bass, Na huwez kupata bass ya double ya candy kwa 1 mln,hata ya kuchonga hupati. Na asipokuwa makini wanamchakachua maana kko wanafungua original spkr wanakufungia fekero

Na mimi naamini hivyo, majuzi niliulizia wakanambia Bass Candy ni 1 million na ushee flan hivi, kwahiyo itakuwa wanazifungua na kuweka za kwao.
Waafrika ndo tulivyo, hovyo sana.
 
Aleyn na Mamaya
asante kwa ushauri na mchango mlio nipa,
hapa naona hivi
1.base=1000 000.
2.mid = 900 000.
3.mixer= 800 000.
4.booste= 700 000.
5.mic = 500 000.
JUMLA=3400 000.
Vipi jaman kuna zaidi ya hapa?
pia hua nasikia amplifire bei yake ikoje?
 
Last edited by a moderator:
ALAyn na Mamaya
asante kwa ushauri na mchango mlio nipa,
hapa naona hivi
1.base=1000 000.
2.mid = 900 000.
3.mixer= 800 000.
4.booste= 700 000.
5.mic = 500 000.
JUMLA=3400 000.
Vipi jaman kuna zaidi ya hapa?
pia hua nasikia amplifire bei yake ikoje?

mkuu booster zipo za mtumba nenda pale karibu Na shule ya Benjamin wanakouza carpet upande wa tbl zipo booster special kwa ajili ya bass Tu kibongobongo hatuzitumii Sana. Booster kwa laki 7 mtumba unapata, cha kuzingatia Ni brandy maana nyingine zikiungua hupati spare ndio maana tunakimbilia hizi za mchina, ila booster za candy Ni ovyo.
 
Last edited by a moderator:
Speaker ambazo mimi naona ni nzuri ni zile aina ya Candy, achana na fidek maana hata bei Candy zipo vizuri. Candy speaker za kawaida ikiwa Double ni 900,000, Bass zikiwa Double ni 1,000,000. Mic mbili za wireless andaa 200,000 ukiongeza na zingine jumla uandae kama 500,000 upande wa mic.
Shusha Mixer ya Laki 7 mpaka Laki 8. Nunua Booster ya 1,000,000 maana bila Booster kwa mziki huu unaweza ukashangaa unapeleka au unakaanga Mixer kila siku.
Mkuu, pia usisahau Generator pamoja na Laptop ya kupigia mziki, itapendeza kama ukinunua na External Hard Disk yenye ITB au 2TB.
Kila la Heri Mkuu!!!

Mkuu, hapo kwenye laptop, mi nilizani dek na mixer zinatosha? nipe somo hapo, pia kuna uhitaji wa kuwa na dek pamoja na laptop, au dek unapotezea unanunua external hard disk
 
Back
Top Bottom