Mamaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 5,067
- 4,434
Mkuu, hapo kwenye laptop, mi nilizani dek na mixer zinatosha? nipe somo hapo, pia extenal hard disk, kazi yake nini pia bei ikoje?
Unaweza Kutumia Pia Mixer Za Kawaida(studio Mixer) Kwa Kuanzia Ambayo Ni Powered Mfano Kuna Lane 2000 Wtts 12 Chanel Bei Ni Laki 850 Hiyo Inaweza Sukuma Bas 2 Za Watts Mia 5 Au Mia 6 Na Mid 2 Za Watts Mia 6, Kwa Mazingira Ya Harus,vikao Au Kama Ni Mkoan Ambako Hakuna Mizik Ya Maana, Ila Kuna Dj Mixer, Ambazo Huwa Zinauza Unatafutia Dec,hz Mara Nyingi Hazina Dj Effect Za Kutosha, Ila Kuna Dec Ziko Complt Na Mixe Zake Mfano Pioneer J1000 Au J2000 Hapo Pana Uchawi Wa Sound Effct Na Plugins Za Kutosha, Huo Unafungwa Booster 1 Au 2 Cros Over ,equlizer,frequenzi Modulatort, Booster 1 Inabeba Mid Peke Yake, Booste Ya 2 Inabeba Bass