Natafuta system ya mziki mixer, spiker nk

Natafuta system ya mziki mixer, spiker nk

Aleyn na Mamaya
asante kwa ushauri na mchango mlio nipa,
hapa naona hivi
1.base=1000 000.
2.mid = 900 000.
3.mixer= 800 000.
4.booste= 700 000.
5.mic = 500 000.
JUMLA=3400 000.
Vipi jaman kuna zaidi ya hapa?
pia hua nasikia amplifire bei yake ikoje?
computer Mkuu na generator
 
Asanteni sana vijana wenzangu kwa michango mizuri. Nami ninahitaji kujilipua kwenye biashara hii ya muziki na nimeshakusanya pesa zinazokaribika kama 10M hivi kwa ajili ya kununua vifaa hivyo. Sasa ninaomba mnishauri nianzie wapi, I mean duka zuri ambalo linauza vifaa genuine, aina za speakers katika levels zote tatu (Bass (double), Midi na Highs), aina na idadi ya booster, crossover, DBX, Equalizer na Mixer. Vitu ambavyo nimekuwa nikifuatilia so far ni PC (ninapenda sana windows pc) so nimeona HP Envy 8GB RAM 1TB Hard Disk inaweza kufaa kuanzia, pia DJ Console (DJ Controller) katika utafiti wangu nikaona Pioneer XDJ-RX itaweza kufaa. Pamoja na hayo ningeomba nipate maelekezo ya namna ya kupanga equipment katika DJ Kit, yaani kifaa kipi kikae juu ya mwenzake. Ninaombeni mnishauri katika hayo na msisite kunikosoa au kunirekebisha pale ambapo nitakuwa nimefanya machaguo ambayo sio. Ninatanguliza shukrani.
 
Speaker ambazo mimi naona ni nzuri ni zile aina ya Candy, achana na fidek maana hata bei Candy zipo vizuri. Candy speaker za kawaida ikiwa Double ni 900,000, Bass zikiwa Double ni 1,000,000. Mic mbili za wireless andaa 200,000 ukiongeza na zingine jumla uandae kama 500,000 upande wa mic.
Shusha Mixer ya Laki 7 mpaka Laki 8. Nunua Booster ya 1,000,000 maana bila Booster kwa mziki huu unaweza ukashangaa unapeleka au unakaanga Mixer kila siku.
Mkuu, pia usisahau Generator pamoja na Laptop ya kupigia mziki, itapendeza kama ukinunua na External Hard Disk yenye ITB au 2TB.
Kila la Heri Mkuu!!!
Sio vibaya kufuta kauli, sasa hivi ninafuta kauli. Fidek toleo jipya ni mziki mwingine, zile spika zinatema balaa.
 
Asanteni sana vijana wenzangu kwa michango mizuri. Nami ninahitaji kujilipua kwenye biashara hii ya muziki na nimeshakusanya pesa zinazokaribika kama 10M hivi kwa ajili ya kununua vifaa hivyo. Sasa ninaomba mnishauri nianzie wapi, I mean duka zuri ambalo linauza vifaa genuine, aina za speakers katika levels zote tatu (Bass (double), Midi na Highs), aina na idadi ya booster, crossover, DBX, Equalizer na Mixer. Vitu ambavyo nimekuwa nikifuatilia so far ni PC (ninapenda sana windows pc) so nimeona HP Envy 8GB RAM 1TB Hard Disk inaweza kufaa kuanzia, pia DJ Console (DJ Controller) katika utafiti wangu nikaona Pioneer XDJ-RX itaweza kufaa. Pamoja na hayo ningeomba nipate maelekezo ya namna ya kupanga equipment katika DJ Kit, yaani kifaa kipi kikae juu ya mwenzake. Ninaombeni mnishauri katika hayo na msisite kunikosoa au kunirekebisha pale ambapo nitakuwa nimefanya machaguo ambayo sio. Ninatanguliza shukrani.
Mimi Mkuu ni DJ kanisani, sijapiga vyombo vikubwa saaana ila wastani.

Upande wa Spika Mkuu kanunue FIDEK, kkoo kuna duka linaitwa Bethlehem, nenda hapo utapata hizo Spika. Zinatema balaa, ninaposema zinatema yaani namaanisha zinatema kwelikweli. Hapa nazungumzia Speaker za Mid na sio Bass.

Bass kamuone mnyama mmoja anaitwa Oprah, nunua single bass ziwe mbili, zinatosha kabisa Mkuu.

Mic kanunue walau ziwe 4, nunua ambazo ni UHF na sio VHF, ni vema kunanunua na Betr za Sony ambazo ni rechargable pamoja na Charger flani hivi, nikipata muda nitakuwekea na picha zake.

Mixer kanunue YAMAHA, wana wakala wao pale njia ya Uhuru, Mixer ya njia 16 inatosha kabisa maana mziki wako sio wa Kanisani.

Nitaendelea.....
 
Mimi Mkuu ni DJ kanisani, sijapiga vyombo vikubwa saaana ila wastani.

Upande wa Spika Mkuu kanunue FIDEK, kkoo kuna duka linaitwa Bethlehem, nenda hapo utapata hizo Spika. Zinatema balaa, ninaposema zinatema yaani namaanisha zinatema kwelikweli. Hapa nazungumzia Speaker za Mid na sio Bass.

Bass kamuone mnyama mmoja anaitwa Oprah, nunua single bass ziwe mbili, zinatosha kabisa Mkuu.

Mic kanunue walau ziwe 4, nunua ambazo ni UHF na sio VHF, ni vema kunanunua na Betr za Sony ambazo ni rechargable pamoja na Charger flani hivi, nikipata muda nitakuwekea na picha zake.

Mixer kanunue YAMAHA, wana wakala wao pale njia ya Uhuru, Mixer ya njia 16 inatosha kabisa maana mziki wako sio wa Kanisani.

Nitaendelea.....
Ninashukuru sana ndugu yangu Aleyn ...nipo hapa ninasubiri muendelezo, sitoki[emoji144]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mwenye kujua bei ya vifaa vya mziki, mixer ya njia tatu, spiker,amplyfire, na nyaya zake nataka nianze biashara ya disco na matangazo. pia kama kuna zaidi ya vifaa nilivyo orodhesha anisaidie
Mkuu usihangaike na hivyo vitu kwa hapa Bongo utaishia kununua vitu feki tuu...kwa msaada zaidi chungulia link hiyo..kama huwezi namna ya kuagiza nicheki PM ntakusaidia fuatilia link hii Complete DJ System | eBay
 
kwa hiyo m4 unapata speker Tu, tena fedek Na waka sio cand au opra, jbl ndio kabisaa hugusi. Bass nzuri kwa sasa Ni opra, inauzwa ml 1.1 doble inasoma 2.2mill ,hiyo ya single Ni 1000 watts rms,peak Ni 2000w pmpo. Bass fidek yai singe ni laki 8.5 ina 800wts rms, double ni 1.6 mln, mid fidec ni laki 8 800wts rms,Mid nzuri Ni candy inauzwa laki 950 mpaka 1 mln . Ni nzuri sababu zina tweeter kubwa Na Ni imara,haziunguzi crossover au coil ya tweeter ivyo, Ni nzuri kwa mziki wa nje Na ndani. Booster fidek p7000 inakutosha bei Ni Kati ya 1.5 Na p 5000 Ni 1.3 milion. Crossover candy Ni laki 2.5 au 3,equlizer Ni Kati yalaki 3 mpaka saba kulingaba Na sina,ila dbx 2channel inakutosha kwa laki 3.5
Mkuu hapa sijakuelewa, yani hapa ni achague kimoja wapo, au izo zote awe nazo?
 
Mimi Mkuu ni DJ kanisani, sijapiga vyombo vikubwa saaana ila wastani.

Upande wa Spika Mkuu kanunue FIDEK, kkoo kuna duka linaitwa Bethlehem, nenda hapo utapata hizo Spika. Zinatema balaa, ninaposema zinatema yaani namaanisha zinatema kwelikweli. Hapa nazungumzia Speaker za Mid na sio Bass.

Bass kamuone mnyama mmoja anaitwa Oprah, nunua single bass ziwe mbili, zinatosha kabisa Mkuu.

Mic kanunue walau ziwe 4, nunua ambazo ni UHF na sio VHF, ni vema kunanunua na Betr za Sony ambazo ni rechargable pamoja na Charger flani hivi, nikipata muda nitakuwekea na picha zake.

Mixer kanunue YAMAHA, wana wakala wao pale njia ya Uhuru, Mixer ya njia 16 inatosha kabisa maana mziki wako sio wa Kanisani.

Nitaendelea.....
Nimependezwa mada hii,nahitaji vyombo vya mziki kanisani,naomba msaada wako
 
ENZI ZETU UKITAKA KUFUNGA SYSTEM KALI
YA MZIKI TULIKUWA TUNAMUONA,NIKAS
MWAMBA ALIKUWA MKALI
VIJANA SAHV WANACHEZA TU

ova
 
Back
Top Bottom