A Aleyn JF-Expert Member Joined Nov 12, 2011 Posts 21,058 Reaction score 36,272 Jul 22, 2021 #61 Kingpm said: Nimependezwa mada hii,nahitaji vyombo vya mziki kanisani,naomba msaada wako Click to expand... Karibu mkuu, bajeti yenu ikoje?
Kingpm said: Nimependezwa mada hii,nahitaji vyombo vya mziki kanisani,naomba msaada wako Click to expand... Karibu mkuu, bajeti yenu ikoje?
A Aleyn JF-Expert Member Joined Nov 12, 2011 Posts 21,058 Reaction score 36,272 Jul 22, 2021 #62 korokwincho said: Ungeweka na model yke na picha bila kusahau bei yake mkuu Click to expand... Picha kwa sasa sina mkuu ila fidek ni namba nyinginez tulinunua toka 2016, mpaka sasa tunabadili coil tu ila spika zinatema mziki utadhani ni mpya.
korokwincho said: Ungeweka na model yke na picha bila kusahau bei yake mkuu Click to expand... Picha kwa sasa sina mkuu ila fidek ni namba nyinginez tulinunua toka 2016, mpaka sasa tunabadili coil tu ila spika zinatema mziki utadhani ni mpya.
K korokwincho JF-Expert Member Joined Aug 29, 2014 Posts 1,054 Reaction score 1,269 Jul 23, 2021 #63 Aleyn said: Picha kwa sasa sina mkuu ila fidek ni namba nyinginez tulinunua toka 2016, mpaka sasa tunabadili coil tu ila spika zinatema mziki utadhani ni mpya. Click to expand... Kwa hyo haupo karibu nayo?? Nipate model number yake??
Aleyn said: Picha kwa sasa sina mkuu ila fidek ni namba nyinginez tulinunua toka 2016, mpaka sasa tunabadili coil tu ila spika zinatema mziki utadhani ni mpya. Click to expand... Kwa hyo haupo karibu nayo?? Nipate model number yake??
Sambinyakwe kitololo JF-Expert Member Joined Nov 15, 2022 Posts 2,419 Reaction score 2,940 Mar 26, 2024 #64 Aleyn said: Picha kwa sasa sina mkuu ila fidek ni namba nyinginez tulinunua toka 2016, mpaka sasa tunabadili coil tu ila spika zinatema mziki utadhani ni mpya. Click to expand... Kwann mnaunguza coil Mara kwa Mara? Naomba specs za amp unayotumia na spika
Aleyn said: Picha kwa sasa sina mkuu ila fidek ni namba nyinginez tulinunua toka 2016, mpaka sasa tunabadili coil tu ila spika zinatema mziki utadhani ni mpya. Click to expand... Kwann mnaunguza coil Mara kwa Mara? Naomba specs za amp unayotumia na spika