Natafuta wa kunioa

Natafuta wa kunioa

Habari zenu,. mimi naishi Dar es salaam ,kama nilivyoandika hapo juu natafuta mwanaume wa kunioa,nina miaka 21,elimu yangu ni certificate sijaajiriwa bado .atakaye kuwa interested tunaweza kuwasiliana zaidi pm..
0742713444
 
Huyu binti hana 21 kama Picha ni yake afu amejichetua wee na ID lake kaona kachoka sasa kafungua ID mpya ili afanye promo bila watu kujua background yake, Anyway kila laheri
Ila tu uwe makini mana humu kuna wagegedaji Balaa afu wakishatafuna wanafunga vioo wewe waulizie Jukwaa la Kazi kule wanavyoshughulikiwa
 
Naona member mnajiuliza na kujijibu wenyewe huko mtoto Neema Niko nae hapa!
Nishamuomba moods afute huu uzi maana mume nishapatikana.
 
Naona member mnajiuliza na kujijibu wenyewe huko mtoto Neema Niko nae hapa!
Nishamuomba moods afute huu uzi maana mume nishapatikana.
Tangu apost uzi hajarudi umu Last seen 1 hour na Acc imekuwa proved one hour ndio akawa na permission ya kupost ivo kama ni comments basi anazisoma kwa ID ake ingine
 
Dada yangu na huo umri, una tatizo gani? Ndoa si suluhisho la matatizo yenu ni bora useme tatizo linalokusumbua ili utatuliwe.
Tatizo lake anataka kugongwa kihalali hamu imemshika mapema
 
Vyuma vimekaza kotekote dada! Hata usiangaike na ndoa!!?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
All the best binafsi cjaona ila nikukaribishe tu ktk kifungo cha mariziano
 
Ngoja waje wakware wajifanye wanataka kuoa wakishagegeda huwaoni.
 
Habari zenu,. mimi naishi Dar es salaam ,kama nilivyoandika hapo juu natafuta mwanaume wa kunioa,nina miaka 21,elimu yangu ni certificate sijaajiriwa bado .atakaye kuwa interested tunaweza kuwasiliana zaidi pm..
haaaaaa kila la heri.
 
Habari zenu,. mimi naishi Dar es salaam ,kama nilivyoandika hapo juu natafuta mwanaume wa kunioa,nina miaka 21,elimu yangu ni certificate sijaajiriwa bado .atakaye kuwa interested tunaweza kuwasiliana zaidi pm..
Kama unaweza kukaa bush ni pm na mie natafuta mrembo
 
Back
Top Bottom