Kwa mujibu wa andiko lako msukumo wa ww kuacha kazi na kufanya kilimo ni kwa kua umeona kilimo biashara kinalipa, swali langu, UMEONA ONAJE KUWA KILIMO BIASHARA KINALIPA?Kama kichwa kinavyo jieleza, nimekuwa kwenye ajira mwaka wa pili, nimeona biashara zinalipa, haswa kilimo biashara, nahitaji ushaur na jins ya kupata masoko...
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeshasema kilimo kinalipa asa unataka ushaur gan tena???Kama kichwa kinavyo jieleza, nimekuwa kwenye ajira mwaka wa pili, nimeona biashara zinalipa, haswa kilimo biashara, nahitaji ushaur na jins ya kupata masoko...
Sent using Jamii Forums mobile app
😂
hii kweli kuna mtu alianza na njiwa kama wanne akiwa na umri mdogo sana chini ya miaka 10 lakini mpaka leo bado familia inafaidika na njiwa hao kama kitoweo huku yeye akiwa na miaka 50 hivyo mradi umekaa zaidi ya miaka 40 sasa.Tengeneza mabanda,, ufuge njiwa, zinalipa sana Mkuu hutojuta nakuambia
hii kweli kuna mtu alianza na njiwa kama wanne akiwa na umri mdogo sana chini ya miaka 10 lakini mpaka leo bado familia inafaidika na njiwa hao kama kitoweo huku yeye akiwa na miaka 50 hivyo mradi umekaa zaidi ya miaka 40 sasa.
Kwa hiyo faida yake ni kitoweo kwa familia?hii kweli kuna mtu alianza na njiwa kama wanne akiwa na umri mdogo sana chini ya miaka 10 lakini mpaka leo bado familia inafaidika na njiwa hao kama kitoweo huku yeye akiwa na miaka 50 hivyo mradi umekaa zaidi ya miaka 40 sasa.
Shukran kkAnza kufanya hiyo biashara kabla hujaacha kazi, biashara zina changamoto sana hasa ndio ukiwa unaanza. Ukiona umekua mzoefu na umekwishaijua biashara yako vizuri hapo ndio unaweza ukaacha kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kilimo cha mchele bossUnataka kufanya kilimo cha zao gani? Ukisema Ndio tukushauri pia mkoa unapotaka kulimia
Sent using Jamii Forums mobile app