kitaruo
JF-Expert Member
- Aug 23, 2018
- 200
- 163
Kama kichwa kinavyojieleza, nimekuwa kwenye ajira mwaka wa pili, nimeona biashara zinalipa, haswa kilimo biashara, nahitaji ushauri na jinsi ya kupata masoko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app