Nataka kuacha kazi nijikite kwenye ufugaji wa samaki

Nataka kuacha kazi nijikite kwenye ufugaji wa samaki

Holly Star

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2018
Posts
4,327
Reaction score
8,142
Heshima kwenu wakuu, mimi ni mwajiriwa wa Serikali, mshahara wangu ni kima cha kati kama milioni hivi kwa mwezi, actually unanitosha kwa kula tu. Nina mtoto mmoja. Mrs. Pia ni mwajiriwa serikalini, mshahara wake ni kima cha chini, Kwa miaka almost 6 nimekuwa nikiishi kwa kukopa bank hivo niliishi kwa robo tu ya mshahara wangu.

Tayari nina kwangu, Ninataka nikope tena 15mil niwekeze kwenye ufugaji wa kambare. I hope sitafeli maana nitawekeza nusu ya hela kwenye samaki, na nusu ingine natumia kujilipia ada ya kusoma udsm, hapo nitakuwa nalipwa mshahara na baada ya 3yrs nitakuwa nimemaliza deni na biashara ya samaki itakuwa na mwelekeo, hapo ndo nitaamua kuacha ama kuendelea na kazi.

Ushauri wenu wajuzi wa maneno.
 
Heshima kwenu wakuu, mm ni mwajiriwa wa serikali, mshahara wangu ni kima cha kati kama milioni hivi kwa mwezi, actually unanitosha kwa kula tu. Nina mtoto mmoja. Mrs. Pia ni mwajiriwa serikalini, mshahara wake ni kima cha chini, Kwa miaka almost 6 nimekuwa nikiishi kwa kukopa bank hivo nliishi kwa robo tu ya mshahara wangu.
Tayari nina kwangu, Ninataka nikope tena 15mil niwekeze kwenye ufugaji wa kambare. I hope sitafeli maana nitawekeza nusu ya hela kwenye samaki, na nusu ingine natumia kujilipia ada ya kusoma udsm, hapo nitakuwa nalipwa mshahara na baada ya 3yrs nitakuwa nimemaliza deni na biashara ya samaki itakuwa na mwelekeo, hapo ndo nitaamua kuacha ama kuendelea na kazi. Ushauri wenu wajuzi wa maneno.
wrong choice
anzisha hiyo biashara ikiwa ndogo itakuwa hapo sasa itaanza kujifinance yenyewe na wewe utakuwa una experience. ukishaona inalipa na soko lipo. sasa waweza kukopa! kuendeleza sio kukopa kuanzisha
 
Hongera mdau kwa kuwasilisha mawazo yako! hii inaweza kuwa chachu kwa wakina sisi wenye mawazo kama yako ila Usiache kazi completely kama bado huna uhakika nini kitakuweka mjini maana hio milion unayo ipata leo usidhani kirahisi utaipata kwa mwezi ukiingia mtaani sababu bado foundation hauja ainisha. Pili kuchukua hio contigency amount after loan na kusomea ni wazo zuri lakini return yake ni immediate? namaanisha una uhakika ukitoka shule kuna mahala unaingia au utarudi hapo unapotaka kuacha na salary itapanda? Tatu kwa jinsi nionavyo mimi soko la kambale wa kufugwa sio sana kwa kuwa wengi tunapenda wale Mabichwa makubwa kambale from miferejini au kwenye mabwawa makubwa asilia sio hizi mbegu za kisasa za Catfish ambazo wanavunwa wakiwa sio wakubwa sana! Angalizo wazo lako zuri ila fikiria other opportunities sababu usije iyumbisha Familia kwa kukosa maarifa.
 
Heshima kwenu wakuu, mm ni mwajiriwa wa serikali, mshahara wangu ni kima cha kati kama milioni hivi kwa mwezi, actually unanitosha kwa kula tu. Nina mtoto mmoja. Mrs. Pia ni mwajiriwa serikalini, mshahara wake ni kima cha chini, Kwa miaka almost 6 nimekuwa nikiishi kwa kukopa bank hivo nliishi kwa robo tu ya mshahara wangu.
Tayari nina kwangu, Ninataka nikope tena 15mil niwekeze kwenye ufugaji wa kambare. I hope sitafeli maana nitawekeza nusu ya hela kwenye samaki, na nusu ingine natumia kujilipia ada ya kusoma udsm, hapo nitakuwa nalipwa mshahara na baada ya 3yrs nitakuwa nimemaliza deni na biashara ya samaki itakuwa na mwelekeo, hapo ndo nitaamua kuacha ama kuendelea na kazi. Ushauri wenu wajuzi wa maneno.
Unahitaji kitu kinaitwa business plan,bila hivyo utapoteza hela zako,unahitaji mawazo yakinifu kujua eneo, lengo mahususi,matarajio yajayo,capital,market,challenges,time,other sources,n.k
 
Ni vizuri zaid ukaanzisha kwanza huo mradi ,ukautathimini kama una matokekeo chanya waweza kuiacha hiyo kazi.

Mkuu mtaani kuwa na uhakika wa million moja kwa mwezi sio kazi ndogo hata kidogo , .
 
Nitaimaliza kuirudisha kabla sijaacha kazi
Hongera mdau kwa kuwasilisha mawazo yako! hii inaweza kuwa chachu kwa wakina sisi wenye mawazo kama yako ila Usiache kazi completely kama bado huna uhakika nini kitakuweka mjini maana hio milion unayo ipata leo usidhani kirahisi utaipata kwa mwezi ukiingia mtaani sababu bado foundation hauja ainisha. Pili kuchukua hio contigency amount after loan na kusomea ni wazo zuri lakini return yake ni immediate? namaanisha una uhakika ukitoka shule kuna mahala unaingia au utarudi hapo unapotaka kuacha na salary itapanda? Tatu kwa jinsi nionavyo mimi soko la kambale wa kufugwa sio sana kwa kuwa wengi tunapenda wale Mabichwa makubwa kambale from miferejini au kwenye mabwawa makubwa asilia sio hizi mbegu za kisasa za Catfish ambazo wanavunwa wakiwa sio wakubwa sana! Angalizo wazo lako zuri ila fikiria other opportunities sababu usije iyumbisha Familia kwa kukosa maarifa.
 
Mkuu ninaishi mkoani, na mkoa wa kijinga balaa ni mkoa maskini sana. Mi mwenyeji wa dar. Ndo maana nataka kurudi dar nahisi nitatoboa
Usiache kazi. Unaweza kukomaa na biashara pia ukiwa kazini. Maana ufikirie hao samaki wanaweza kukupa faida ya zaidi ya milioni moja kwa mwezi?
 
Ebhana za kuambiwa changanya na za kwako, ukiamua kuacha kazi naamini kuna sababu ya msingi kufanya hivyo na zaidi unaangalia maslahi mapana yako na familia ila kama bado una malengo ya kufanya kitu flani bas fanya hicho kitu ukiwa na kaz mkononi then Ukiona kinalipa zaid kias kwamba hata hiyo kazi inakupelekea kupoteza vingi bas ruksa kuacha.
 
Back
Top Bottom