πππππππππ π[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππππππππ π[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Haha kweli, inakuwa aina maana unapata pesa then unakaa eneo usilopenda.Mkuu ninaishi mkoani, na mkoa wa kijinga balaa ni mkoa maskini sana. Mi mwenyeji wa dar. Ndo maana nataka kurudi dar nahisi nitatoboa
Hapo sawa kakaNitaimaliza kuirudisha kabla sijaacha kazi
Katika biashara zote hyo ya samaki ndio pata potea kabisa.Heshima kwenu wakuu, mimi ni mwajiriwa wa Serikali, mshahara wangu ni kima cha kati kama milioni hivi kwa mwezi, actually unanitosha kwa kula tu. Nina mtoto mmoja. Mrs. Pia ni mwajiriwa serikalini, mshahara wake ni kima cha chini, Kwa miaka almost 6 nimekuwa nikiishi kwa kukopa bank hivo niliishi kwa robo tu ya mshahara wangu.
Tayari nina kwangu, Ninataka nikope tena 15mil niwekeze kwenye ufugaji wa kambare. I hope sitafeli maana nitawekeza nusu ya hela kwenye samaki, na nusu ingine natumia kujilipia ada ya kusoma udsm, hapo nitakuwa nalipwa mshahara na baada ya 3yrs nitakuwa nimemaliza deni na biashara ya samaki itakuwa na mwelekeo, hapo ndo nitaamua kuacha ama kuendelea na kazi.
Ushauri wenu wajuzi wa maneno.
Ok outcomes inasoma mil 40,na capital jumla ilikugharimu mil ngapi?hao samaki Kambare sikushauri saana.. ila wanafaa
ungejarib kufuga Samaki aina ya Tilapia.. wana soko la uhakika sana.. but kuwatunza uwe nao makini.. ila wana hela nzuri
~vifaranga
~bei ya kuwauza
tofaut na hawa kambare ingawa nao wanahitajika ila sio kama Tilapia.. ambaye anauzwa in good prices na wateja wanakufata (kampuni)
nimewekeza almost baada ya one year outcomes inasoma 40mil.. mpk 70mil inategemea sasa.
inategemea sasa... kuna mambo ya kuzingatiaOk outcomes inasoma mil 40,na capital jumla ilikugharimu mil ngapi?
Kama vyote sina halaf ndio nataka nianze ili mwakani niipate hyo outcome ya mil 40inategemea sasa... kuna mambo ya kuzingatia
gharam za kuandaa bwawa
~maji yapo?
~bwawa lipo
~vifaa vya kuandaa
~watumishi..
na vitu kama hivyo vingi
gharama ya hao vifaranga utakao waweka na idadi yake unataka ngap...?
gharama ya matunzo..
unaweka kijana?
chakula...
na vitu vingine..
ukifanya calculations kulingana na hali.yako uliyonayo.. ndio utapata Actual capital required..
ardhi ni muhim katk hii ishu.. so kadiria ardhi unayoitaka ni ina thamani gani? ukishapata thamani ya ardhi unayoitaka ndio naweza kukutajia estimates zilizobak maan kuna sehem ardhi hat mil 1 unapata.. unaend sehem nyingine bila mil 10 huipati ingawa zinaendana..Kama vyote sina halaf ndio nataka nianze ili mwakani niipate hyo outcome ya mil 40
Ardhi huku nilipo ni 4 milion kwa ukubwa wa 20x20 Metres.ardhi ni muhim katk hii ishu.. so kadiria ardhi unayoitaka ni ina thamani gani? ukishapata thamani ya ardhi unayoitaka ndio naweza kukutajia estimates zilizobak maan kuna sehem ardhi hat mil 1 unapata.. unaend sehem nyingine bila mil 10 huipati ingawa zinaendana..
ukipata ardhi ya kutosha.. ndio jinsi utakapo weka samaki wa kutosha.. so ukiwa na kama mil 10.. kazi kwisha.. una uhakik wa mil 70 zako within 1yr siri hii watu hawaijuiArdhi huku nilipo ni 4 milion kwa ukubwa wa 20x20 Metres.
Dah sikujua mkuu nimechezea sana hela Kama hizi siku za nyuma.ukipata ardhi ya kutosha.. ndio jinsi utakapo weka samaki wa kutosha.. so ukiwa na kama mil 10.. kazi kwisha.. una uhakik wa mil 70 zako within 1yr siri hii watu hawaijui
πππππSiku c nyingi utatembea na chupi kichwani. Jaribu tu kuacha kazi...
hapana.. sijasomea but kuna Ndugu yangu yeye ndie aliyenishawishi kujaribu hii.. maana yeye ni professional kuliko mie.. nimefanya ku copy and paste zile strategy zake..Dah sikujua mkuu nimechezea sana hela Kama hizi siku za nyuma.
Na je ww ulienda kusomea mahali hayo mambo ya ufugaji au umejifunzaje?
good advice ila ongeza nyama kidogo jamaa ajifunze zaidhao samaki Kambare sikushauri saana.. ila wanafaa
ungejarib kufuga Samaki aina ya Tilapia.. wana soko la uhakika sana.. but kuwatunza uwe nao makini.. ila wana hela nzuri
~vifaranga
~bei ya kuwauza
tofaut na hawa kambare ingawa nao wanahitajika ila sio kama Tilapia.. ambaye anauzwa in good prices na wateja wanakufata (kampuni)
nimewekeza almost baada ya one year outcomes inasoma 40mil.. mpk 70mil inategemea sasa.
hapana.. sijasomea but kuna Ndugu yangu yeye ndie aliyenishawishi kujaribu hii.. maana yeye ni professional kuliko mie.. nimefanya ku copy and paste zile strategy zake..
katika beseni..[emoji23][emoji23][emoji23] nataniaUnafugia wapi?