Nataka kuachana na mke tuliyezaa naye watoto watatu. Amenishinda tabia!

Nataka kuachana na mke tuliyezaa naye watoto watatu. Amenishinda tabia!

Mimi wangu aliondoka sasa nimerud nyumbani siku mkuta akasema kaenda msibani,nikamuuliza ni msiba gani ambao mimi siiujui???basi akaongea na dada yake eti kuna msiba sijui wa nani(sikuwaelewa)ingawaje ulikuwa msiba kweli lakini haukuwa na maana ya yeye kutoka wilaya moja kwenda nyingine na kushindwa kunipigia simu au hata kuja kazini kwangu kama sipatikani kwa simu na gari za kawe zinapatikana kariakoo.

Basi nikatoka na jibu moja nikamwambia arudi hukohuko msibani alipotoka,du huwezi amini yule mwanamke saa tano usiku akavaa akataka kuondoka kurudi kule.

Basi nikafunga mlango nikamwambia huu usiku ila kesho urud hukohuko msibani,yule mwanamke hiwezi amini ilivyofika asubuhi kaoga kaondoka huko kawe.

Nilikaa siku 11 yeye yupo tu kwa ndugu zake,siku ya 12 taraka ilimfuata hukohuko wakazikataa,mshenga karudi akanipa majibu kuwa wamekataa,hivyo wanataka yazungumzwe.

Nikawaona hawa wote hawana msaada,yaan mtoto wao kakaaa siku 11 hawakutaka tuzungumze,leo wanaona taraka tuzungumze??nikawaambia sina huo muda.

Hapo upande wa ndugu sikuwapa taarifa ndipo wao wakaona njia mbadala kupitia kwa ndugu zangu ndipo nami niliopofunguka,ingawaje walielewa sana,hivyo msimamo wangu ulikuwa uleule ni taraka tuu.

Basi hakukuwa na namna kalia kanyamaz akataka vitu tugawane,nikamwambia chukua utakavyoviweza sina muda kugawana vitu,alibeba mpaka viberiti.

Baada ya miezi 5 nikaoa mke mwingine nipo nae maisha safi tunajenga familia.

NB:UKIONA MWANAMKE KWAO ANASIKILIZWA SANA,HAKUFAI HILO NI BOMU LITALIPUKA TU.
 
Mume wangu yupo na mke wa kaka yake wala hawajifichii wanadai wao wanapendana sasa kwa mujibu wa familia wanadai nasi tuoane namie sijaridhia but nimekaa nikawaz whats gong to happen kwanini mke wake anaganda kwa mume wangu ni nini?? Ila cha kusikitisha kashasign divorce papers. Na sasa watoto ndio napigana naye ili nipate full custody ya watoto wangu hadi wake. Ndio bibi kasema ili niweze kuwasaidia wanasupport niolewe na shemeji yangu nahisi siwezi ishi uzeeni mwenyewe naolewa naye tu tena dar kisiwaume. Ila huyu mume wa zamani kasema ataua mtu nikamwambia sawa aue hata mnyama. Maana tunambwa . Nampenda ila nilimpenda shemeji zaido anajua anajua anajua tena so kazi ni kwangu watoto wetu pande mbili wamefurahi tunaoana wanajua tulivyo na uhalali na hii ndoa
Kumekucha harusi nyingine Lamomy
 
Wala hata sio ubishi,hapo huyo mwanamke anatafuta njia ya kumwendesha tu jamaa,akithubutu kumfata basi kosa dogo tu demu kwao akijua atafuatwa
ukishakuwa mwanaume epuka sana kushindana na mwanamke coz wanawake wanapenda ligi na kuvimbiana.

Sasa kwa situation ya mleta mada akifanya unavyomshauri yeye binafsi hatopata shida ila watoto watateseka sana
 
Wana jamvi,

Kama bado hujawahi kukutana na changamoto ya familia unaweza kudhani watu humu wanaleta stori za kusadikika. Mimi na mke wangu tumeishi naye kwa miaka nane sasa na kwa kipindi hicho chote nimejitahidi kuwa mwaminifu na kuhudumia familia vizuri.

Sasa vituko vya huyu mwanamke anagawa vitu vya ndani kama mafuta, mchele, maharage na hata mkaa. Vitu vinaisha kabla ya muda hata sehemu ninapofanya manunuzi huwa wanashangaa, husema huenda nina nyumba ndogo ila mimi ni mwaminifu kwa huyu mwanamke.

Kituko kikubwa alichokifanya ni kutoroka nyumbani akiwaacha watoto hivi sasa kamaliza miezi yapata mitatu taratibu mawazo ya kuoa mwanamke mwingine yanakuja ili kusaidiana maisha. Isitoshe mwanamke huyo hana elimu kubwa na hana ajira japo mimi ni payee sijawahi kumdharau kwa hali yake zaidi ya kumrekebisha pale anapokesea.

Sasa nimeona hali imekuwa climax na ninataka kuachana nae na watoto nitalea mwenyewe. Ushauri wenu wakuu 🤔

Mwanamke akiona amani imezidi atahangaika mpaka awe single maza!!
 
Kama wote mmeridhia hapo tatizo halipo na divorce mahakamani ipo tayari hapo sawa. Wasiwasi wangu mtaendelea kupeana tu. Pili mnahitaji uvumilivu kustahimili aibu hiyo maana watoto wakikuwa watajua kila kitu na watawashangaa sana
Watoto wake wameafiki watoto wa huyu wameafiki so ndugu zao wanaafiki hii ndoa
 
Wana jamvi,

Kama bado hujawahi kukutana na changamoto ya familia unaweza kudhani watu humu wanaleta stori za kusadikika. Mimi na mke wangu tumeishi naye kwa miaka nane sasa na kwa kipindi hicho chote nimejitahidi kuwa mwaminifu na kuhudumia familia vizuri.

Sasa vituko vya huyu mwanamke anagawa vitu vya ndani kama mafuta, mchele, maharage na hata mkaa. Vitu vinaisha kabla ya muda hata sehemu ninapofanya manunuzi huwa wanashangaa, husema huenda nina nyumba ndogo ila mimi ni mwaminifu kwa huyu mwanamke.

Kituko kikubwa alichokifanya ni kutoroka nyumbani akiwaacha watoto hivi sasa kamaliza miezi yapata mitatu taratibu mawazo ya kuoa mwanamke mwingine yanakuja ili kusaidiana maisha. Isitoshe mwanamke huyo hana elimu kubwa na hana ajira japo mimi ni payee sijawahi kumdharau kwa hali yake zaidi ya kumrekebisha pale anapokesea.

Sasa nimeona hali imekuwa climax na ninataka kuachana nae na watoto nitalea mwenyewe. Ushauri wenu wakuu 🤔
Tungemsikia na yeye pia
 
U
Miss Natafuta utani huo sasa. Tulia kwanza issue iishe yawezekana tuka collide, sisi ni people
Mkuu umetoa ripoti polisi ya kupotelewa na mtu aliye ktk mamlaka yako? Pia kwa wazazi na ndugu kisheria sio kuenyeji? Baada ya hapo chukua hatua ya kutoa talaka na pengine kuoa mke mwingine. Endelea kwa miaka isiyopungua 5 au zaidi ili watoto wakue bila kuoa ili wapate akili zaidi za kuishi na mama wa kambo. UTAKUWA UMEWAJALI WATOTO WAKO. Kuwa na rafiki wa kike angalau mmoja kwa haja za kibinadamu kama unashindwa kuishi hivyo. Nakushauri uishi MWENYEWE ukiwatunza watoto wako. Kuoa mwanamke wa kijijini asiyesoma sana kwa sasa sio suluhisho la ndoa salama. WAKIFIKA MIJINI WANAENDA NA WAKATI MPAKA WANAKUWA 6G. UTASHANGAA KAMA YUKO NA KIDUME. UKIENDA MAHAKAMANI KUTOA TALAKA KIDUME KIMEMCHOkA ATARUDII NA KUKATAA TALAKA. NIMEONA NA KUSHUHUDIA
 
U

Mkuu umetoa ripoti polisi ya kupotelewa na mtu aliye ktk mamlaka yako? Pia kwa wazazi na ndugu kisheria sio kuenyeji? Baada ya hapo chukua hatua ya kutoa talaka na pengine kuoa mke mwingine. Endelea kwa miaka isiyopungua 5 au zaidi ili watoto wakue bila kuoa ili wapate akili zaidi za kuishi na mama wa kambo. UTAKUWA UMEWAJALI WATOTO WAKO. Kuwa na rafiki wa kike angalau mmoja kwa haja za kibinadamu kama unashindwa kuishi hivyo. Nakushauri uishi MWENYEWE ukiwatunza watoto wako. Kuoa mwanamke wa kijijini asiyesoma sana kwa sasa sio suluhisho la ndoa salama. WAKIFIKA MIJINI WANAENDA NA WAKATI MPAKA WANAKUWA 6G. UTASHANGAA KAMA YUKO NA KIDUME. UKIENDA MAHAKAMANI KUTOA TALAKA KIDUME KIMEMCHOkA ATARUDII NA KUKATAA TALAKA. NIMEONA NA KUSHUHUDIA
Asante mkuu kwa ushauri wako mzuri . Nitaanza taratibu za kisheria mwezi wa sita kwa sasa niko na kazi nyingi binafsi na za taasisi
 
Wana jamvi,

Kama bado hujawahi kukutana na changamoto ya familia unaweza kudhani watu humu wanaleta stori za kusadikika. Mimi na mke wangu tumeishi naye kwa miaka nane sasa na kwa kipindi hicho chote nimejitahidi kuwa mwaminifu na kuhudumia familia vizuri.

Sasa vituko vya huyu mwanamke anagawa vitu vya ndani kama mafuta, mchele, maharage na hata mkaa. Vitu vinaisha kabla ya muda hata sehemu ninapofanya manunuzi huwa wanashangaa, husema huenda nina nyumba ndogo ila mimi ni mwaminifu kwa huyu mwanamke.

Kituko kikubwa alichokifanya ni kutoroka nyumbani akiwaacha watoto hivi sasa kamaliza miezi yapata mitatu taratibu mawazo ya kuoa mwanamke mwingine yanakuja ili kusaidiana maisha. Isitoshe mwanamke huyo hana elimu kubwa na hana ajira japo mimi ni payee sijawahi kumdharau kwa hali yake zaidi ya kumrekebisha pale anapokesea.

Sasa nimeona hali imekuwa climax na ninataka kuachana nae na watoto nitalea mwenyewe. Ushauri wenu wakuu 🤔
Kuna muda ukipata shuhuda Kama hizi, hofu kubwa inatanda! kufikiria hii taasisi ndoa
 
Back
Top Bottom