Uhuru24
JF-Expert Member
- May 2, 2015
- 4,112
- 4,361
Mimi wangu aliondoka sasa nimerud nyumbani siku mkuta akasema kaenda msibani,nikamuuliza ni msiba gani ambao mimi siiujui???basi akaongea na dada yake eti kuna msiba sijui wa nani(sikuwaelewa)ingawaje ulikuwa msiba kweli lakini haukuwa na maana ya yeye kutoka wilaya moja kwenda nyingine na kushindwa kunipigia simu au hata kuja kazini kwangu kama sipatikani kwa simu na gari za kawe zinapatikana kariakoo.
Basi nikatoka na jibu moja nikamwambia arudi hukohuko msibani alipotoka,du huwezi amini yule mwanamke saa tano usiku akavaa akataka kuondoka kurudi kule.
Basi nikafunga mlango nikamwambia huu usiku ila kesho urud hukohuko msibani,yule mwanamke hiwezi amini ilivyofika asubuhi kaoga kaondoka huko kawe.
Nilikaa siku 11 yeye yupo tu kwa ndugu zake,siku ya 12 taraka ilimfuata hukohuko wakazikataa,mshenga karudi akanipa majibu kuwa wamekataa,hivyo wanataka yazungumzwe.
Nikawaona hawa wote hawana msaada,yaan mtoto wao kakaaa siku 11 hawakutaka tuzungumze,leo wanaona taraka tuzungumze??nikawaambia sina huo muda.
Hapo upande wa ndugu sikuwapa taarifa ndipo wao wakaona njia mbadala kupitia kwa ndugu zangu ndipo nami niliopofunguka,ingawaje walielewa sana,hivyo msimamo wangu ulikuwa uleule ni taraka tuu.
Basi hakukuwa na namna kalia kanyamaz akataka vitu tugawane,nikamwambia chukua utakavyoviweza sina muda kugawana vitu,alibeba mpaka viberiti.
Baada ya miezi 5 nikaoa mke mwingine nipo nae maisha safi tunajenga familia.
NB:UKIONA MWANAMKE KWAO ANASIKILIZWA SANA,HAKUFAI HILO NI BOMU LITALIPUKA TU.
Basi nikatoka na jibu moja nikamwambia arudi hukohuko msibani alipotoka,du huwezi amini yule mwanamke saa tano usiku akavaa akataka kuondoka kurudi kule.
Basi nikafunga mlango nikamwambia huu usiku ila kesho urud hukohuko msibani,yule mwanamke hiwezi amini ilivyofika asubuhi kaoga kaondoka huko kawe.
Nilikaa siku 11 yeye yupo tu kwa ndugu zake,siku ya 12 taraka ilimfuata hukohuko wakazikataa,mshenga karudi akanipa majibu kuwa wamekataa,hivyo wanataka yazungumzwe.
Nikawaona hawa wote hawana msaada,yaan mtoto wao kakaaa siku 11 hawakutaka tuzungumze,leo wanaona taraka tuzungumze??nikawaambia sina huo muda.
Hapo upande wa ndugu sikuwapa taarifa ndipo wao wakaona njia mbadala kupitia kwa ndugu zangu ndipo nami niliopofunguka,ingawaje walielewa sana,hivyo msimamo wangu ulikuwa uleule ni taraka tuu.
Basi hakukuwa na namna kalia kanyamaz akataka vitu tugawane,nikamwambia chukua utakavyoviweza sina muda kugawana vitu,alibeba mpaka viberiti.
Baada ya miezi 5 nikaoa mke mwingine nipo nae maisha safi tunajenga familia.
NB:UKIONA MWANAMKE KWAO ANASIKILIZWA SANA,HAKUFAI HILO NI BOMU LITALIPUKA TU.