Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ndio wanaosambaratisha sana ndoa za mabinti wasasa. Mzazi anafuatilia maisha ya binti yake utadhani anamla. Inakera balaa.Ndio maana huwa tunaambiwa tuangalie sana nasabu ya mwanandoa lengo ni kujua tabia za familia yao
Ukiona familia inamtetea mwanandoa bila sababu za msingi ujue hapo kuna tatizo,familia makini haiwezi kulea huo ujinga
Marehemu mkwe wangu alikuwa hataki ujinga kabisa,,binti akienda kwake bila taarifa maalum ujue lazima atarudishwa
Nilipo mwacha mke wangu pamoja na kutoa talaka kwa maandishi lkn bado alinipigia na kuniuliza baba "umetoa talaka kwa hiari yako mwenyewe" nikamjibu ndiyo ndio akaridhika
Lakini hawa wazazi wanao sema kwani mwanangu kwenu umeua mpaka uogope kurudi hawa wabaya sana
Tupa huko jalalani ita chuma kipya kiweke nguo kabatini hapo.Kabeba kabakiza sketi mbili na underwear moja
Kutishana tu. Watoto waishi kwa shida kwan maisha yao yote watakuwa hapo nyumbani kwa baba yao?Bembeleza Mke wako murudiane.
Sijaona hata semehemu mlipokosana. Ila mmechokana, ndio maana akaenda kupumzika.
Acha kutafuta matatizo kwenye maisha. Ukitaka hao watoto waishi kwa shida, oa mke mwingine.
Pili, badilisha life style. Mpe kazi ya kufanya, mdungulie genge ili awe busy kidogo.
Pole, ila humu utaambulia hasira za watu.
Easier said than doneKutishana tu. Watoto waishi kwa shida kwan maisha yao yote watakuwa hapo nyumbani kwa baba yao?
Watoto unakaa nao sana ni hadi wakifika miaka 20 then wanaenda kujitegemea, sasa watatesekaje?
Ni wewe tu kumpangia utaratibu huyo mke mpya maana hata yeye anajua hao watoto sio wake so anawalea kwa huruma tu na si lazima awapende moyoni kama wakwake bali anatakiwa kuwa jali tu kwa upendo na hisani ya Mama.
Ukiwa hujaelewa kitu ulizaMfume dume unashida gani kama ndio mfumo wa kuendesha maisha yakaenda?
Kwahiyo akirudi kwao ndio anasolve tatizo au kumkomoa jamaa?
Akaunti yake inafaida gani kwa mwanaume kama haitamuhusu matumizi yake?
Yeye mwanamke akifa familia itaendeshwa na nani, kwann mwanaume ndie wa kutabiriwa kufa kwan wapi iliandikwa mwanaume hufa kwanza, wauwaji wakubwa ninyi.
Yani mwanamke sijamfukuza kaondoka mwenyewe,halafu niende kuuliza kwao kwanini kaondoka!!!? ,labda kama kaniroga vinginevyo atasubir sanaNani kakwambia kuwa wazazi hawajamuuliza kwa nini karudi??? Huyo Bwana amefanya juhudi gani za kwenda kwa wazazi wa mke kuuliza kwa nini mke wake kaenda huko miezi yote hiyo? Badala ya kwenda kuuliza analeta upuuzi wake JF!!!! Huyo ni mwanaume kweli???!!!! Halafu kuna mzazi gani atakubali binti yake ateseke tu kwa mwanaume asiyejielewa eti kwa sababu ya ndoa???!!! Acheni kusikiliza mambo ya upande mmoja jamani!!! Hakuna mwanamke anakimbia ndoa bila ya sababu!!!
Kama shemeji yako na mke wake walifunga ndoa na inajulikana sio poa nyie kuoana maana jamii itawashangaa sana. Kikubwa endelea na mme wako lakini pia punguza ukaribu na shemeji yako ili ndoa zenu zidumu vinginevyo zitavunjika. Mapungufu na matatizo yaliyotokea myasahau msonge mbele katoto kazuriMjukuu wa Magika nishauri nimeachana na mume wangu kisa anatembea na amezaa mtoto 1 naye mke wakaka yake. Tumelijua hilo tulilivumilia sasa tushauriana kuwaaacha kwa sababu sisi ni waaminifu ni mbaya tukioana na shemeji yangu wao wakae pamoja?? Maana kuna siku tuliamua kuonjeshana tu ili kiu zikate . Unaonaje swali hilo
Kwa hilo kweli najitahidi sana kulea familia na kuipenda ila mwanamke naona kama hathamini upendo wanguNafuu yako wewe ni baba mwaminifu wanaume wengi wa sasa hawalei familia zao na ni umiza vichwa malaya kupindukia
Inaweza kuwa hivyo mkuu ila nachofahamu itamgharimu sana hapo baadae, she never scores another meSasa hapo wewe ndio umeachwa maana kaondoka bila kuaga na hujui alipo
Hatujatalakiana bado mkuu. Inakuwaje akirudi bila taarifa pia?Yaani kamaliza miezi mitatu bado unamwita mke wako! like serious?
Ushauri wako nimeupokea mkuuKuachana nae ni maamuzi yako, ila nina ombi moja kwako. Usifanye haraka ya kuoa mapema kisa kuachwa na huyo mwanamke, jipe mda wa kumtafuta mwanamke anayeweza kuvaa kiatu cha mama kwa watoto wako.
Hilo ni la kwake na utu wake kama kaamua kujidhalilisha mimi nabaki na utu wanguKwani watu wakiwa kwao ndio hawatombwi? Anatombwa vizuri tu tena hata mara kumi kwa siku.
Kuna kitu hakipo sawa mleta mada kuna mambo anaficha...yaani mwanamke aondoke akuachie watoto miezi mitatu bila taarifa yoyote?Hata mimi naona ni hivyo.. maana sio kirahisi hivi miezi 3 nje na mbali na familia halafu wazazi wasikuhoji ahahah wanasubiri aingie kwenye mfumo wamkomoe...