nsanzu
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 4,673
- 5,402
Sina hakika sana ila nadhani ni ndani ya siku 90, huyo anakuwa amejiondoa rasmi na sheria inakuwa upande wakoNijuze mkuu, maana hata mimi sielewi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina hakika sana ila nadhani ni ndani ya siku 90, huyo anakuwa amejiondoa rasmi na sheria inakuwa upande wakoNijuze mkuu, maana hata mimi sielewi
Nashukuru mkuu kwa kunielimisha 🙏. Huyo huenda kaolewa huko mimi sifahamuSina hakika sana ila nadhani ni ndani ya siku 90, huyo anakuwa amejiondoa rasmi na sheria inakuwa upande wako
Kupiga mwanamke kwa sasa hivi ni bora umrudishe kwao kwa amani. Mimi huwa simpigi mkuuKwavile huwa unampiga, lazima atafute usalama kwao, ulee mwenyewe.
Ndivyo walivyo. Siraha yao kubwa hudhani utaharibikiwa akikuacha na ninahisi baadhi ya wanawake huwa ni chanzo cha kutokuendeleaHivi viumbe bana,juzi tu nipo dukani jamaa anamsimulia muuza duka kuwa mwanamke wake aliondoka tu nyumbani,jamaa alimbembeleza sqna mwanamke arudi akakataa tena akamwambia jamaa hatakuja kupata mwanamke,jamaa alikuja kupata mwanamke mwingine akaoa na siku ya harusi eti hilo shetani lilikuwepo sijui lilikuwa linajisikiajej
Kwa hiyo kumbe huwa unampiga!!!! Mpumbavu kweli weweAlienda kwao mkuu. Wakwao wanaingilia familia yangu na ninahisi walimwambia aende. Kuhusu kumpiga muda huu kaondoka bila kumpiga
Hii comment ijengewe mnara!!!! You have nailed it!!!Mmhh anagawa vyakula! Ukute hakuna anachogawa labda wewe ndo wale wanaume ukinunua nyama unahesabu vipande vya nyama kwenye sufuria licha ya kutokuwa msaliti wa mapenzi we naye jichunguze unafeli wapi maana maelezo yako yana ualakini mkubwa! Mwanamke aliyeamua kuolewa akuzalie watoto watatu afu akurupuke tu awaache sio RAHISI yaani sio RAHISI na usifikiri itakuwa rahisi kiiivo mwanamke mwingine kulea watoto wako, watoto ambao walizoea malezi ya mama mzazi....hakuna aliye mkamilifu tafuta mke wako myamalize punguza gubu na uchoyo na kumpiga, nimeona comment yako ukimjibu gammaparticles muda huu kaondoka bila kumpiga inamaana huwa unampiga kachoka na upumbavu wako hata utayemuoa atakuja atachoka tu na ataenda
😂😂 kweli kabsa vijana tunaanza kuogopaWazee mnatutishaa sana vijana ambao bado hatujafika stage hiyo ya kuoa kila kukicha mtafaruku kweny secta ya ndoa🙌
Nani kakwambia kuwa wazazi hawajamuuliza kwa nini karudi??? Huyo Bwana amefanya juhudi gani za kwenda kwa wazazi wa mke kuuliza kwa nini mke wake kaenda huko miezi yote hiyo? Badala ya kwenda kuuliza analeta upuuzi wake JF!!!! Huyo ni mwanaume kweli???!!!! Halafu kuna mzazi gani atakubali binti yake ateseke tu kwa mwanaume asiyejielewa eti kwa sababu ya ndoa???!!! Acheni kusikiliza mambo ya upande mmoja jamani!!! Hakuna mwanamke anakimbia ndoa bila ya sababu!!!Aahah hivi kuna mzazi anaweza kuruhusu binti yake ambaye kaolewa arudi kwao anakaa miezi 3 hawamuulizi kulikoni mbona umerudi? Au ni wazazi wa siku hizi?
Kumbe huwa unampa kichapo? [emoji23][emoji23][emoji23]Alienda kwao mkuu. Wakwao wanaingilia familia yangu na ninahisi walimwambia aende. Kuhusu kumpiga muda huu kaondoka bila kumpiga
Kwani watu wakiwa kwao ndio hawatombwi? Anatombwa vizuri tu tena hata mara kumi kwa siku.Yupo kwao mkuu huwa naongea nae ila simuulizi habari ya kurudi kupitia simu ya mama yake
Umeandika ukweli tupu kutokana na maelezo yake. Asimame kama baba wa familiaMmhh anagawa vyakula! Ukute hakuna anachogawa labda wewe ndo wale wanaume ukinunua nyama unahesabu vipande vya nyama kwenye sufuria licha ya kutokuwa msaliti wa mapenzi we naye jichunguze unafeli wapi maana maelezo yako yana ualakini mkubwa! Mwanamke aliyeamua kuolewa akuzalie watoto watatu afu akurupuke tu awaache sio RAHISI yaani sio RAHISI na usifikiri itakuwa rahisi kiiivo mwanamke mwingine kulea watoto wako, watoto ambao walizoea malezi ya mama mzazi....hakuna aliye mkamilifu tafuta mke wako myamalize punguza gubu na uchoyo na kumpiga, nimeona comment yako ukimjibu gammaparticles muda huu kaondoka bila kumpiga inamaana huwa unampiga kachoka na upumbavu wako hata utayemuoa atakuja atachoka tu na ataenda
Mfume dume unashida gani kama ndio mfumo wa kuendesha maisha yakaenda?Mifumo yenu dume hiyo ndomana wanawakimbia ,anandugu kama ulivo wewe pia bank.anatamani awe na akaunt yake ,jiulize ukifa wewe familia ataendesha nani