Mstoiki
JF-Expert Member
- Oct 9, 2020
- 4,365
- 8,384
Nyonga mbili mkuu!!Sina la kukushauri ngoja nisokote kitu huku nikimsikiliza Bob Marley 😌
View attachment 3212988
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyonga mbili mkuu!!Sina la kukushauri ngoja nisokote kitu huku nikimsikiliza Bob Marley 😌
View attachment 3212988
Nimekuwa nikitafakari kwa muda mrefu kuhusu hali ya ndoa yangu, na kwa huzuni kubwa nataka kueleza uamuzi wangu wa kutaka tuacha na mke wangu Nimefikia hatua hii kwa sababu zifuatazo:
Kuhusiana na unyumba: Nimegundua kwamba mke wangu anatumia unyumba kama silaha ya kunikomoa pale ninapokuwa nimekosea, na mara kwa mara amekuwa akinikatalia. Hii imeathiri sana uhusiano wetu kwa upande wa kihisia na kimapenzi.
Heshima: Ukaribu wetu umefika hatua ya mke wangu kupunguza heshima kwangu. Hili limeleta changamoto kubwa katika mahusiano yetu na hata katika mawasiliano ya kila siku.
Kuelewa maisha: Baada ya muda wa kuwa na kuishi katika maisha ya Ndoa , nimegundua mambo fulani kuhusu maisha yangu. Nilikuwa sijitumi sana awali, lakini sasa nimejifunza umuhimu wa kujiboresha na kuwekeza katika maarifa yangu.
Hata hivyo, nimehisi kwamba tabia Za mke wangu , kama vile kuwa na mwelekeo wa kutaka kwenda out mara kwa mara, zinaweza kuwa changamoto kubwa kwangu katika siku za usoni.
Sasa kiongozi mwanamke ambaye anabana mpaka anakeraSijaona sababu yenye mashiko ya kumuacha mkeo hapo!!
Mke anakwambia Upige nyeto 😆😆Sasa kiongozi mwanamke ambaye anabana mpaka anakera
Just imagine mwanamke anakuanbia bora upige ponyeto kuliko yeye kukupa sex. Na mda mwingine kupewa sex mpaka umtoe out how can you live with women like this
Lakini katika hizo sababu hapo juu hakuna hata moja yenye uzito wa kuachana na mkewe maybe kama uandishi wake umekua mwepesi kuliko masahibu anayoyapitia ndani kwake.Mke mshenzi dawa yake ni moja tu ambayo ni talaka
Ushauri gani huu 😅Sasa bwashe skia kama yupo vizuri kimaisha angalia namna nyingine ya kupata furaha yako tafuta kamchepuko flan ambako maintainance cost yake ni average na mwenye akili kidogo
Yani umemuoa ila kukupa mpaka umhonge tena. Hapo kashesheSasa kiongozi mwanamke ambaye anabana mpaka anakera
Just imagine mwanamke anakuanbia bora upige ponyeto kuliko yeye kukupa sex. Na mda mwingine kupewa sex mpaka umtoe out how can you live with women like this
Tulia wewe😁 wanaume tushauriane jambo unafikiri akimwacha saivi mtoto ataishijeUshauri gani huu 😅
Unfortunately, huo ndio ushauri pekee utakaofanya kazi. Nyingine ni blaa blaa tuUshauri gani huu 😅
Atambemenda mtoto na muingiliano wa UTI suguTulia wewe😁 wanaume tushauriane jambo unafikiri akimwacha saivi mtoto ataishije