Nataka kuachana na mke wangu ambaye nimeishi naye miaka 2

Nataka kuachana na mke wangu ambaye nimeishi naye miaka 2

TUMEAMBIWA TUISHI NAO KWA AKILI ILA NDUGU YETU AKILI IMEISHIA KWENYE UPWIRU ILA SIO MBAYA TUMTOE UKO KWANZA TUMLETE KARIBU YETU INAWEZEKANA ANA KUBWA ANATUFICHA NA ILI TUMWEKE SAWA ATUWEKE WAZI
 
Nimekuwa nikitafakari kwa muda mrefu kuhusu hali ya ndoa yangu, na kwa huzuni kubwa nataka kueleza uamuzi wangu wa kutaka tuacha na mke wangu Nimefikia hatua hii kwa sababu zifuatazo:

Kuhusiana na unyumba: Nimegundua kwamba mke wangu anatumia unyumba kama silaha ya kunikomoa pale ninapokuwa nimekosea, na mara kwa mara amekuwa akinikatalia. Hii imeathiri sana uhusiano wetu kwa upande wa kihisia na kimapenzi.

Heshima: Ukaribu wetu umefika hatua ya mke wangu kupunguza heshima kwangu. Hili limeleta changamoto kubwa katika mahusiano yetu na hata katika mawasiliano ya kila siku.

Kuelewa maisha: Baada ya muda wa kuwa na kuishi katika maisha ya Ndoa , nimegundua mambo fulani kuhusu maisha yangu. Nilikuwa sijitumi sana awali, lakini sasa nimejifunza umuhimu wa kujiboresha na kuwekeza katika maarifa yangu.

Hata hivyo, nimehisi kwamba tabia Za mke wangu , kama vile kuwa na mwelekeo wa kutaka kwenda out mara kwa mara, zinaweza kuwa changamoto kubwa kwangu katika siku za usoni.
Kama unaweza kufanya uamuzi wa kumuacha utakuwa uamuzi wa busara sana nina ndoa ya Miaka 15 lakini nakufahamisha kuwa wanawake wa zama hizi ni wasumbufu na wapuuzi
 
Ule unaonekana udhaifu kwa wanawake, siku zote ndio huwa nguvu inayowatumikisha wanaume maisha yao yote!

Wanawake wajanja wanajua wanaume wanapenda kuwa in controll.

Kwa sababu hiyo, mara zote wanawapa impression kwamba, kuishi na amani yao inategemea zaidi nguvu na ulinzi wa wanaume.

Ni hapa mwanaume ambapo huwa anajikuta anaenda extra miles kumthibitishia mwanamke kwamba yeye anastahili zaidi!

Unknowingly wanajikuta wanacheza ngoma inayopigwa na wanawake.

Wanawake wajanja sio wale wanaoshindana na wanaume in any ways. Ila ni wale wanaowafanya wanaume wajione wanaweza kila kitu kuliko wao.

Hapo ndipo wanaume hujipiga kifuani na kutaka kutekeleza kila hitaji lao.

Wajanja huwa hawataki kuihubiri kabisa equality majumbani kwao. Wao wanajua kudai equality majumbani ni sawa na mbuzi kuhitaji kucheza match ya nguvu na kifaru!
 
Nimekuwa nikitafakari kwa muda mrefu kuhusu hali ya ndoa yangu, na kwa huzuni kubwa nataka kueleza uamuzi wangu wa kutaka tuacha na mke wangu Nimefikia hatua hii kwa sababu zifuatazo:

Kuhusiana na unyumba: Nimegundua kwamba mke wangu anatumia unyumba kama silaha ya kunikomoa pale ninapokuwa nimekosea, na mara kwa mara amekuwa akinikatalia. Hii imeathiri sana uhusiano wetu kwa upande wa kihisia na kimapenzi.

Heshima: Ukaribu wetu umefika hatua ya mke wangu kupunguza heshima kwangu. Hili limeleta changamoto kubwa katika mahusiano yetu na hata katika mawasiliano ya kila siku.

Kuelewa maisha: Baada ya muda wa kuwa na kuishi katika maisha ya Ndoa , nimegundua mambo fulani kuhusu maisha yangu. Nilikuwa sijitumi sana awali, lakini sasa nimejifunza umuhimu wa kujiboresha na kuwekeza katika maarifa yangu.

Hata hivyo, nimehisi kwamba tabia Za mke wangu , kama vile kuwa na mwelekeo wa kutaka kwenda out mara kwa mara, zinaweza kuwa changamoto kubwa kwangu katika siku za usoni.
Kwisha
 
Back
Top Bottom