Nataka kuachana na mke wangu ambaye nimeishi naye miaka 2

Nataka kuachana na mke wangu ambaye nimeishi naye miaka 2

Sijaona sababu yenye mashiko ya kumuacha mkeo hapo!!
Kanisa katoliki hakuna talaka.
Kanisa katoliki hutoa kibali Cha talaka endapo mmoja anamnyima mwezie haki ya tendo la ndoa makusudi Yani bila shida ya kiafya.
Hiyo sababu Ni kubwa mno katika sababu zake alizotaja.
 
Hizi taarifa huwa zinanihuzunisha sana sana.Mimi nilishajitaarifu mwenyewe na nikamtaarifu shetani pia kwamba sitakuja kumuacha mke wangu kwa sababu yoyote ile na wala asahau kwamba nitachepuka.so akae akijua hivyo.Maana aliwahi kunipa option hiyo kwamba kwa kuwa mkeo kuna changamoto ya tendo la ndoa basi si uachane na mkeo au chepuka tu maana unayo sababu.na akawa ananiletea wanawake wengine wazuri tu.Ila nikamwambia mimi hawezi kunipata kwa hili.Mungu alinisaidia hali ilitengemaa.

So, usikubali kuachana na mkeo wa ndoa akawa single mother.Komaa tuu muombe Mungu na weka dhamira ya kutamuacha mkeo hali itarejea.

Kuna wanawake wengine wanavyoona hali unayopitia wanafurahi kwa sababu wanona kama utageuka kuwa mzoga wao.dont do it! kuseperate kuna maumivu sana.
Naomba namba za shetani ili na mimi nimchane ukweli
 
Ongezea hapo 'masingo maza'.
Masingle tu huwa hawatoshi, ila mtaa umeelemewa na masingo maza.
Aisee,. Mie nazungumzia ambao hawajaoa wala kuolewa tuko wengi sana wasituongezee mzigo
 
Mtoto ana miezi 7 bado nyie wachanga tulia anaweza kujirekebisha halafu wanawake wote hii Dunia ni majanga wote wanaliwa nje hili ni hakika omba Mungu asikuzalie nje tu....
Kuhusu kukunyima wewe achana nae kula mzigo nje
 
Lakini katika hizo sababu hapo juu hakuna hata moja yenye uzito wa kuachana na mkewe maybe kama uandishi wake umekua mwepesi kuliko masahibu anayoyapitia ndani kwake.
Sababu kubwa namba moja ya kuoa ni kupata unyumba.... Sasa kama hupewi hakuna ndoa hapo.... Bora kuachana mapema kabisa.....
 
Pole sana, jitahidi kuongea naye kwa kina kuachana siyo kuzuri ukizingatia mna Mtoto ambaye anahitaji malezi ya wazazi wote wawili.
 
Wanandoa sababu ni zilezile kila siku hamna mpya,.

Aisee wakuu pambaneni huko huko na hali zenu masingle mtaani tumetosha
Alafu sababu za kipuuzi eti kunyimwa unyumba, mara matumizi makubwa na blah blha za kimaskini.

Nifahamuvyo mwanamke anaachwa kwa kugawa unyumba hovyo mitaani ila haya mengine hayana maana. Ni kukaa chini na kuongea.
 
Shida ya kutokuwa na ''side note'' ........muwe na daftari la ziada! Eti unalilia kunyimwa unyumba Karne hii! Kwel kabisa? Oa wa pili Mzee.
 
Alafu sababu za kipuuzi eti kunyimwa unyumba, mara matumizi makubwa na blah blha za kimaskini.

Nifahamuvyo mwanamke anaachwa kwa kugawa unyumba hovyo mitaani ila haya mengine hayana maana. Ni kukaa chini na kuongea.
Yeah ni kweli,. Wakae wayazungumze kuachana sio suluhisho maana hajui atakayemuoa tena atakuwaje
 
Sijaona sababu hata moja ya kuacha mke hapo.
Ninapo waambia ndoa ni kwa watu wenye akili timamu ndio muelewe hebu muoneni huyu changamoto ndogo tu anataka kumwacha mke.
 
Nimekuwa nikitafakari kwa muda mrefu kuhusu hali ya ndoa yangu, na kwa huzuni kubwa nataka kueleza uamuzi wangu wa kutaka tuacha na mke wangu Nimefikia hatua hii kwa sababu zifuatazo:

Kuhusiana na unyumba: Nimegundua kwamba mke wangu anatumia unyumba kama silaha ya kunikomoa pale ninapokuwa nimekosea, na mara kwa mara amekuwa akinikatalia. Hii imeathiri sana uhusiano wetu kwa upande wa kihisia na kimapenzi.

Heshima: Ukaribu wetu umefika hatua ya mke wangu kupunguza heshima kwangu. Hili limeleta changamoto kubwa katika mahusiano yetu na hata katika mawasiliano ya kila siku.

Kuelewa maisha: Baada ya muda wa kuwa na kuishi katika maisha ya Ndoa , nimegundua mambo fulani kuhusu maisha yangu. Nilikuwa sijitumi sana awali, lakini sasa nimejifunza umuhimu wa kujiboresha na kuwekeza katika maarifa yangu.

Hata hivyo, nimehisi kwamba tabia Za mke wangu , kama vile kuwa na mwelekeo wa kutaka kwenda out mara kwa mara, zinaweza kuwa changamoto kubwa kwangu katika siku za usoni.
Ni sababu za muhimu, ila sijaona sababu ya msingi
Shida sio mke wako, shida ni wewe kutokutambua tangu mwanzo unataka nini kwenye haya maisha
Mwanamke wako kwakweli amepata hasara
 
Kanisa katoliki hakuna talaka.
Kanisa katoliki hutoa kibali Cha talaka endapo mmoja anamnyima mwezie haki ya tendo la ndoa makusudi Yani bila shida ya kiafya.
Hiyo sababu Ni kubwa mno katika sababu zake alizotaja.
Kwanini unategemea kikundi fulani ndiyo kiwe kinaamulia uamuzi wa mambo kwenye maisha yako ilihali unapaswa kutoa maamuzi kulingana na hisia zako mwenyewe?
 
Hizo mbanga za nini zote, yeye aanze kuishi kama yupo single tu. Achukue namba mpya kila apatapo nafasi. Aanze kugonga nje apunguze kulilia lilia mbunye ya mkewe.
Afanye kwanza hivyo nlivyomwambia sababu inaonekana kama vile bado anamuelewa mke wake, Akiona demu wake ha-react aichukue hiyo yako.

Yeye sio mti ambao hauwezi kuhamishika.
 
Back
Top Bottom