Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
Nimeipenda hii expert wsnguKweli majina yana maana
"KWISHA" na kweli imeisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeipenda hii expert wsnguKweli majina yana maana
"KWISHA" na kweli imeisha
Acha wivu mkuu,utakuuwaNimekuwa nikitafakari kwa muda mrefu kuhusu hali ya ndoa yangu, na kwa huzuni kubwa nataka kueleza uamuzi wangu wa kutaka tuacha na mke wangu Nimefikia hatua hii kwa sababu zifuatazo:
Kuhusiana na unyumba: Nimegundua kwamba mke wangu anatumia unyumba kama silaha ya kunikomoa pale ninapokuwa nimekosea, na mara kwa mara amekuwa akinikatalia. Hii imeathiri sana uhusiano wetu kwa upande wa kihisia na kimapenzi.
Heshima: Ukaribu wetu umefika hatua ya mke wangu kupunguza heshima kwangu. Hili limeleta changamoto kubwa katika mahusiano yetu na hata katika mawasiliano ya kila siku.
Kuelewa maisha: Baada ya muda wa kuwa na kuishi katika maisha ya Ndoa , nimegundua mambo fulani kuhusu maisha yangu. Nilikuwa sijitumi sana awali, lakini sasa nimejifunza umuhimu wa kujiboresha na kuwekeza katika maarifa yangu.
Hata hivyo, nimehisi kwamba tabia Za mke wangu , kama vile kuwa na mwelekeo wa kutaka kwenda out mara kwa mara, zinaweza kuwa changamoto kubwa kwangu katika siku za usoni.
Mchepuko mzee wa nini wakati yeye bado bwana mdogo kabisa?Tafuta mchepuko mzee
Hela unazo lakini au unga unga mwana😆?Sasa kiongozi mwanamke ambaye anabana mpaka anakera
Just imagine mwanamke anakuanbia bora upige ponyeto kuliko yeye kukupa sex. Na mda mwingine kupewa sex mpaka umtoe out how can you live with women like this
Hakuna sababu ya msingi uliyoitajaNimekuwa nikitafakari kwa muda mrefu kuhusu hali ya ndoa yangu, na kwa huzuni kubwa nataka kueleza uamuzi wangu wa kutaka tuacha na mke wangu Nimefikia hatua hii kwa sababu zifuatazo:
Kuhusiana na unyumba: Nimegundua kwamba mke wangu anatumia unyumba kama silaha ya kunikomoa pale ninapokuwa nimekosea, na mara kwa mara amekuwa akinikatalia. Hii imeathiri sana uhusiano wetu kwa upande wa kihisia na kimapenzi.
Heshima: Ukaribu wetu umefika hatua ya mke wangu kupunguza heshima kwangu. Hili limeleta changamoto kubwa katika mahusiano yetu na hata katika mawasiliano ya kila siku.
Kuelewa maisha: Baada ya muda wa kuwa na kuishi katika maisha ya Ndoa , nimegundua mambo fulani kuhusu maisha yangu. Nilikuwa sijitumi sana awali, lakini sasa nimejifunza umuhimu wa kujiboresha na kuwekeza katika maarifa yangu.
Hata hivyo, nimehisi kwamba tabia Za mke wangu , kama vile kuwa na mwelekeo wa kutaka kwenda out mara kwa mara, zinaweza kuwa changamoto kubwa kwangu katika siku za usoni.
Hizo mbanga za nini zote, yeye aanze kuishi kama yupo single tu. Achukue namba mpya kila apatapo nafasi. Aanze kugonga nje apunguze kulilia lilia mbunye ya mkewe.Mke anakwambia Upige nyeto 😆😆
Easy trick fanya hivi - Stop begging her for sex hata kwa mwezi mfululizo, Act like uko comfortable bila sex halafu anza kuchelewa kurudi na kujipokelesha simu nje usiku.
Women are Emotional creatures akihisi tu kama una mwingine, wivu, anaacha vimbwanga.
After 3weeks uje unipe mrejesho!!
Hayo sio mapenzi ni utumwa. Yani mtu kukushow love mpaka umtoe out hizo hela za kufanya hayo kila siku kisa mbunye ni bora kuanzisha uhusiano hata na denti.Mtoe out,mletee zawadi, mpe helaa, mpende vizuri. Utapewa hadi utapewa tena. 😝😝mnadhani mkishamuweka ndani mtu hachoki.
Ongezea hapo 'masingo maza'.Wanandoa sababu ni zilezile kila siku hamna mpya,.
Aisee wakuu pambaneni huko huko na hali zenu masingle mtaani tumetosha
Mkuu usichukue uamuzi kama huo kwa haraka hivyo. Wanawake wengi wakizaa mtoto, hasa wa kwanza, "attention" kubwa huipeleka kwa mtoto zaidi ya mume.Nimekuwa nikitafakari kwa muda mrefu kuhusu hali ya ndoa yangu, na kwa huzuni kubwa nataka kueleza uamuzi wangu wa kutaka tuacha na mke wangu Nimefikia hatua hii kwa sababu zifuatazo:
Kuhusiana na unyumba: Nimegundua kwamba mke wangu anatumia unyumba kama silaha ya kunikomoa pale ninapokuwa nimekosea, na mara kwa mara amekuwa akinikatalia. Hii imeathiri sana uhusiano wetu kwa upande wa kihisia na kimapenzi.
Heshima: Ukaribu wetu umefika hatua ya mke wangu kupunguza heshima kwangu. Hili limeleta changamoto kubwa katika mahusiano yetu na hata katika mawasiliano ya kila siku.
Kuelewa maisha: Baada ya muda wa kuwa na kuishi katika maisha ya Ndoa , nimegundua mambo fulani kuhusu maisha yangu. Nilikuwa sijitumi sana awali, lakini sasa nimejifunza umuhimu wa kujiboresha na kuwekeza katika maarifa yangu.
Hata hivyo, nimehisi kwamba tabia Za mke wangu , kama vile kuwa na mwelekeo wa kutaka kwenda out mara kwa mara, zinaweza kuwa changamoto kubwa kwangu katika siku za usoni.
Baada ya kabla?!Baada ya kabla na baada ya kuzaa
Unaitafuta miaka 30 kifungoni kwa Nguvu ee😅😅😅Hayo sio mapenzi ni utumwa. Yani mtu kukushow love mpaka umtoe out hizo hela za kufanya hayo kila siku kisa mbunye ni bora kuanzisha uhusiano hata na denti.
Dahhh , this is insane! Timua huyoNa mda mwingine kupewa sex mpaka umtoe out how can you live with women like this