Nataka kuachana na mke wangu ambaye nimeishi naye miaka 2


Mwanamke Kama:

1. Anakunyima unyumba
2. Anakuzarau

Wanamla!
 
Sasa kiongozi mwanamke ambaye anabana mpaka anakera
Just imagine mwanamke anakuanbia bora upige ponyeto kuliko yeye kukupa sex. Na mda mwingine kupewa sex mpaka umtoe out how can you live with women like this
Mke anakwambia Upige nyeto πŸ˜†πŸ˜†

Easy trick fanya hivi - Stop begging her for sex hata kwa mwezi mfululizo, Act like uko comfortable bila sex halafu anza kuchelewa kurudi na kujipokelesha simu nje usiku.

Women are Emotional creatures akihisi tu kama una mwingine, wivu, anaacha vimbwanga.

After 3weeks uje unipe mrejesho!!
 
Hizi taarifa huwa zinanihuzunisha sana sana.Mimi nilishajitaarifu mwenyewe na nikamtaarifu shetani pia kwamba sitakuja kumuacha mke wangu kwa sababu yoyote ile na wala asahau kwamba nitachepuka.so akae akijua hivyo.Maana aliwahi kunipa option hiyo kwamba kwa kuwa mkeo kuna changamoto ya tendo la ndoa basi si uachane na mkeo au chepuka tu maana unayo sababu.na akawa ananiletea wanawake wengine wazuri tu.Ila nikamwambia mimi hawezi kunipata kwa hili.Mungu alinisaidia hali ilitengemaa.

So, usikubali kuachana na mkeo wa ndoa akawa single mother.Komaa tuu muombe Mungu na weka dhamira ya kutamuacha mkeo hali itarejea.

Kuna wanawake wengine wanavyoona hali unayopitia wanafurahi kwa sababu wanona kama utageuka kuwa mzoga wao.dont do it! kuseperate kuna maumivu sana.
 
Ukweni watakaposikia haya watakaa kikao na mleta mada ambapo washiriki watakuwa.....

Huyu ni baba mkwe

Huyu ni mjomba

Kaka mtu
Mbwa wa familia nae hatakaa mbali

Wapwaze mtu
Mkewe akijenga hoja
Huyu ni mleta mada (mume) akijaribu kuwasilisha hoja zake
Ex wa mkewe nae atakapopata taarifa hatakosa cha kuwaza japo hatujui kama jema au baya
Mkuu kila la heri ktk maamuzi yako sijui kama utatoka salama bila kugawana mali kama unazo au kupigwa au hata kulogwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…