Perfectbernie
Member
- May 7, 2022
- 6
- 15
Haha inawezekana sana Kuna combi inaitwa PBE .unaanza kusoma physics biology na educationUnawezaje kusoma Phy na bios bila kusoma kemia advance?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha inawezekana sana Kuna combi inaitwa PBE .unaanza kusoma physics biology na educationUnawezaje kusoma Phy na bios bila kusoma kemia advance?
We bwanaHaha inawezekana sana Kuna combi inaitwa PBE .unaanza kusoma physics biology na education
DuhUsije jaribu kuacha utajuta.Fikiria miaka 20.Utakuwaje?
Kabisa,yani ukikosea timing wafa.Unakosa hata hela ya bandoUalimu ni kama kitanzi fulani hivi.
Kujinasua inabidi utumie timing vinginevyo kinakifyatukia.
Huko halmashauri unyama sana
Kweli kabisa , "kazi mbaya ukiwa nayo"Hio kazi uliipata kwa connection itakua
Ila.kwa wale walio sota mtaani and wakasota mpaka kupata hio chance hawawwzi waza huu ujinga,
We jamaa unanitisha mpaka naogopaAcha ualimu,kuna siku utaleta Uzi hapa hatutakuchangia.Jichanganye uone,unafuata mawazo ya mob,wanakushauri uache watakukimbia wote,hata kande utakosa
Siku nyingine andika majina ya kubuniNaongezea Mkuu, Kuna rafiki yangu somebody Felicia shimbewangoso alikuwa na ujuaji wa hapa na pale, aliingia Kama mwalimu wa krashi programu kwa enzi hizo miaka 2016/2017, Basi bwana kapiga kazi,muda ulipoenda akaenda kusomea bachelor ya mazingira sijui na Nini huko wlipohitimu alirudi kazini Kama kawaida,maana enzi hizo ufuatiliaji ulikuwa duni,hivyo aliendelea kupiga kazi Kama kawaida na bachelor yake hiyo.
Mwaka 2016 kwenye uhakiki wa watumishi hewa si akaombwa apeleke cheti Cha taaluma ,akitoe wapi ,maana bachelor yake alisoma vitu tofauti na ualimu,mwisho wa siku akapigwa chini ,Sasa hivi hata Mia Hana,kapauka sana ,anajutia uamuzi wake.
Mwisho wa siku kwako mtoa mada, usijifunze kwa walioshindwa, fanya kile moyo wako unakutuma kufanya, Mimi pia nampango wa kusoma mambo ya community development niachane na fani ya ualimu.
Mkuu we we ndo felician shimbewangoso? Niwie radhi mkuuSiku nyingine andika majina ya kubuni
Niende kwenye mada moja kwa moja
Mimi ni mwalimu kiwango cha elimu ni diploma katika masomo ya PHYSICS na BIOLOGY.
Baada ya misukosuko ya ualimu ikiwa ni pamoja na kupigwa na maisha vizuri tu,
Nimekaa na kuamua kurudi shule kusoma/kujiendeleza kielimu.
Ndugu zangu naombeni ushauri wenu naweza soma course gani nje ya ualimu ambayo itakuwa na tija kidogo kwa taifa letu (ualimu siutaki tena Mimi nimechoka).
Sifa ni diploma ya ualimu wa sayansi katika masomo niliyo taja (PHYSICS na BIOLOGY).
Japo kuna watu wamenishauri kwa cheti changu hicho cha diploma nikasomee bachelor of science in PHYSICS or bachelor of science in BIOLOGY .
Naombeni ushauri jamani ualimu umenishinda nimeinua mikono juu....
NAWASILISHA.
Sikutishi nakueleza ukweli,tulijaribisha kama wewe,sema tukarudi.Jidanganye manWe jamaa unanitisha mpaka naogopa
Siku hizi ukiacha hawakurudishi.Enzi za Kikwete walikua Fair sometimesSikutishi nakueleza ukweli,tulijaribisha kama wewe,sema tukarudi.Jidanganye man