Statistics
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 3,666
- 7,788
Jichanganye uje na uzi 2028!
Zuia misaada kwa ndugu, ndo utaish kwa kufurahia
Zuia misaada kwa ndugu, ndo utaish kwa kufurahia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naongezea Mkuu, Kuna rafiki yangu somebody Felicia shimbewangoso alikuwa na ujuaji wa hapa na pale, aliingia Kama mwalimu wa krashi programu kwa enzi hizo miaka 2016/2017, Basi bwana kapiga kazi,muda ulipoenda akaenda kusomea bachelor ya mazingira sijui na Nini huko wlipohitimu alirudi kazini Kama kawaida,maana enzi hizo ufuatiliaji ulikuwa duni,hivyo aliendelea kupiga kazi Kama kawaida na bachelor yake hiyo.
Mwaka 2016 kwenye uhakiki wa watumishi hewa si akaombwa apeleke cheti Cha taaluma ,akitoe wapi ,maana bachelor yake alisoma vitu tofauti na ualimu,mwisho wa siku akapigwa chini ,Sasa hivi hata Mia Hana,kapauka sana ,anajutia uamuzi wake.
Mwisho wa siku kwako mtoa mada, usijifunze kwa walioshindwa, fanya kile moyo wako unakutuma kufanya, Mimi pia nampango wa kusoma mambo ya community development niachane na fani ya ualimu.
Hata mimi nimejiuliza sana nikaona hakuna uhalisia,ingekuwa hivyo aisee watu wangejazana pasingetosha hapo kwenye hiyo car washNyie motivation speakers huwa mnaongea tu.nani akupe elfu 5 kwa siku kwa kuosha magari tu?kwanza hayo magari 10 unayosema ya kuosha unayapata wapi kila siku?
Hii tunaita kujiongeza,wengi wanateseka kwa kukosa uwezo wa kujiongeza yaani wanakuwa rigid wanakosa flexibility.Kinacho kufanya upigike siyo ualimu, ila ni uvivu wako na kutokufikiria nje ya box. Kama usipobadilika hata uwe na masters maisha yako yatakawa hivyo hivyo tu.
Usione watu wanaendesha vimagari vyao na wamejenga nyumba zao ukadhani ni vyeti vyao au kazi zao ndo zinawalipa. Siyo hivyo....ni uchakarikaji.
Popote ulipo pana fursa, ni wewe tu kuwa na jicho la tatu..na kuondoa uvivu.
Kwenye maisha usiige mtu,kila mtu ana timing zake.Mshikaji nilisoma naye Primary na sekondary, hakupata ufaulu mzuri akaenda Ualim Certificate alifanya kazi kama miaka mitano tu. Akaacha akaenda kusoma diploma ya medicine. Baba yake mzazi alikuwa mchungaji wa Kanisa. Walikuwa na maisha yakawaida sana kama unavyojua kijijini.
Kweli aisee. Na huenda aliendelea kupokea mishaharaKwenye maisha usiige mtu,kila mtu ana timing zake.
Hata kama kwao maisha ni ya kawaida huwezi kujua alifanya connection gani hadi akatoboa,siri ya mtu ni kichaka.
Eti afisa uvuvi wachache [emoji1787]Bachelor of science in biology unarudi kuwa mwl . Kasome Bsc Aquaculture au Bsc fisheries Sua au udsm utakuja kunishukuru . Maafisa uvuvi ni wachache Sana. Tafuta wilaya yenye ziwa au baharu ufanyiwe recategirization utakuja kunishukuru. Au nenda kasome masuala ya Procurement and supplies. Watu wa procurement ni wachache walioajiriwa ufanyiwe recategirization uwe procurement officer pia utakuja kunishukuru. Kumbuka unavyoenda kusoma uwe na tricky Kuomba vyuo viwili unapeleka joining instructions ya kwamba unaenda kusoma education. Wewe unaenda kusoma chio kingine ili upewe ruhusa
Bachelor of science in Physics, Chemistry....Ili iwaje sasa?Niende kwenye mada moja kwa moja
Mimi ni mwalimu kiwango cha elimu ni diploma katika masomo ya PHYSICS na BIOLOGY.
Baada ya misukosuko ya ualimu ikiwa ni pamoja na kupigwa na maisha vizuri tu,
Nimekaa na kuamua kurudi shule kusoma/kujiendeleza kielimu.
Ndugu zangu naombeni ushauri wenu naweza soma course gani nje ya ualimu ambayo itakuwa na tija kidogo kwa taifa letu (ualimu siutaki tena Mimi nimechoka).
Sifa ni diploma ya ualimu wa sayansi katika masomo niliyo taja (PHYSICS na BIOLOGY).
Japo kuna watu wamenishauri kwa cheti changu hicho cha diploma nikasomee bachelor of science in PHYSICS or bachelor of science in BIOLOGY .
Naombeni ushauri jamani ualimu umenishinda nimeinua mikono juu....
NAWASILISHA.
Ajira za uvuvi zimetoka chache kipind cha hapo nyuma.Eti afisa uvuvi wachache [emoji1787]
Kabla ya kufanyiwa recategirization unajua mara ya mwisho ajira zao walitangaza lini ? Unaongea kana kwamba kuna uhitaji kwenye idara hiyo
Nimemaliza na wanangu wengi tu wa aquaculture hapo Sua bado ngoma ni bila bila
Mtoa mada siku hizi ajira ngumu baki huko huko ulipo ila tu ji upgrade ongeza elimu yako kwenye kada yako siku hizi ajira ni ngumu kila sehemu kila sekta
Na ikiwa mtu ana bachelor of science, say, education, then akaongezea na CPA. Akirudi halmashauri anaweza kufanyiwa recategorization kwa kwa cheti cha CPA?Akisoma CPA akiwa chuo itamlazimu kuanzia ATEC I mpaka aje kumaliza inawezekana na chuo chenyewe kikawa kimeisha na Bado asiipate hiyo CPA kwa sababu Hana msingi kwenye Uhasibu.
Bado hujamshauri
Na ikiwa mtu ana bachelor of science, say, education, then akaongezea na CPA. Akirudi halmashauri anaweza kufanyiwa recategorization kwa kwa cheti cha CPA?Kwanini asingefanyiwa RECATEGORIZATION?
#YNWA
Na ikiwa mtu ana bachelor of science, say, education, then akaongezea na CPA. Akirudi halmashauri anaweza kufanyiwa recategorization kwa kwa cheti cha CPA?
Msaada mkuu kama una uelewa na hili.
Vocha ya elfu 10 hyo hapo,umejitahidi sana kuelezea ukweliKinacho kufanya upigike siyo ualimu, ila ni uvivu wako na kutokufikiria nje ya box. Kama usipobadilika hata uwe na masters maisha yako yatakawa hivyo hivyo tu.
Usione watu wanaendesha vimagari vyao na wamejenga nyumba zao ukadhani ni vyeti vyao au kazi zao ndo zinawalipa. Siyo hivyo....ni uchakarikaji.
Popote ulipo pana fursa, ni wewe tu kuwa na jicho la tatu..na kuondoa uvivu.
Eti afisa uvuvi wachache [emoji1787]
Kabla ya kufanyiwa recategirization unajua mara ya mwisho ajira zao walitangaza lini ? Unaongea kana kwamba kuna uhitaji kwenye idara hiyo
Nimemaliza na wanangu wengi tu wa aquaculture hapo Sua bado ngoma ni bila bila
Mtoa mada siku hizi ajira ngumu baki huko huko ulipo ila tu ji upgrade ongeza elimu yako kwenye kada yako siku hizi ajira ni ngumu kila sehemu kila sekta
Unaweza ila kuna maafisa utumishi wengi hawajui kusoma muundo pale unatakiwa ubadilishiwe kwa kutumia statement of result ya intermediate ndio wanaiterm kama degree au foundation wanaiterm kama certificate ila kuna baadhi ya maafisa utumishi hawajui muundo basi ni shida wanasumbua watu mnoNa ikiwa mtu ana bachelor of science, say, education, then akaongezea na CPA. Akirudi halmashauri anaweza kufanyiwa recategorization kwa kwa cheti cha CPA?
Msaada mkuu kama una uelewa na hili.
Shukran sana mkuu.Ndio anaweza
Shukran sana tena sana mkuu mrsmau , huu mrejesho mzuri kwangu.Unaweza ila kuna maafisa utumishi wengi hawajui kusoma muundo pale unatakiwa ubadilishiwe kwa kutumia statement of result ya intermediate ndio wanaiterm kama degree au foundation wanaiterm kama certificate ila kuna baadhi ya maafisa utumishi hawajui muundo basi ni shida wanasumbua watu mno